Ana səhifə

П р е д и с л о в и е данный учебно-методический комплекс


Yüklə 2.19 Mb.
səhifə7/25
tarix26.06.2016
ölçüsü2.19 Mb.
1   2   3   4   5   6   7   8   9   10   ...   25
Kwangu ni huko Dodoma “Мои родные места в Додоме”;

Atarudi kwake “Он вернется к себе на родину”;

Karibuni kufika kwetu “Приезжайте к нам”.

Такие местоимения могут оформляться префиксами мн. Числа 3-го класса, о чем свидетельствует пример из текста.

**** na vivi hivi… “и точно таким же образом…” Абсолютные местоимения классов неодушевленных предметов образуются путем удвоения показателя класса – zizi, yaya, papa, kuku, mumu и т.д. Как правило, самостоятельного употребления они не имеют, а сопровождаются указательным местоимением близости (или его релятивной формой) того же класса, т. е. zizi hizi (zizo hizo), vivi hivi (vivyo hivyo), yaya haya (yayo hayo), mumu humu (mumo humo), kiki hiki и т. д.
Mazoezi

3. Дайте эквиваленты на суахили:

находить общий язык; задавать друг другу вопросы; узнавать друг друга; отличаться; быть похожими; смешиваться; наши предки; наши потомки; молодое поколение; высокая скала; огромный камень; широкая пещера; коренные жители; городские жители; сельское население; подтверждать; утверждать; быть против; считается; утверждалось; говорится; запрещено; устанавливать; основывать; ставить; распространяться; расселяться; простираться.


4. Переведите вопросы к тексту и дайте на них ответы на суахили:

1. Какие народности проживают на территории Восточной Африки? 2. Кто такие “бушмены”? Чем они занимались? 3. Какие свидетельства указывают на то, что бушмены когда-то заселяли земли Танзании? 4. Что изображено на рисунках, обнаруженных на камнях и в пещерах? 5. Почему можно считать эти рисунки принадлежащими бушменам? 6. Кто такие “пигмеи”? Есть ли они в Восточной Африке? 7. Какой образ жизни они ведут? 8. Какие племена, населяющие Танзанию, не являются племенами банту? 9. Когда и где появились первые арабы в Восточной Африке? 10. Какие территории занимают племена банту?



5. Перескажите текст, используя следующие выражения:

watu wa namna nyingi; -weza kusikilizana; lugha zimeachana; afadhali tueleze; watu wakaao mwituni; jambo linaloelekea kuthibitisha; picha zilizoandikwa juu ya mawe na miamba; rangi iliyotumiwa; wenyeji wa asili; kabila lililoingizwa katika kabila jingine; -fanya makwao huko; wazao wa watu; walisimamisha falme zao; watu wametengwa; bahari ya Wabantu; alichungua sana habari za Wabantu; lugha zilizofanana; lugha ya asili; walichanganyika na wenyeji.


6. Переведите, обратив внимание на подчеркнутые выражения:

1. Мы купили в магазине хлеб, молоко, соль и много других продуктов. 2. В заповеднике они видели слонов, жирафов и других разнообразных зверей. 3. В саду его родителей растут апельсиновые деревья, банановые пальмы и многие другие плодовые деревья. 4. Когда мы поедем в путешествие, мы посетим Найроби, Дар эс Салаам, Кампалу и другие города Восточной Африки. 5. Она умеет петь, рисовать, шить и делать многое другое. 6. В моей библиотеке есть книги по истории, искусству и много других интересных книг.


7. Замените подчеркнутые слова притяжательными местоимениями локативного класса, используя их в качестве имен существительных:

1. Wageni walipokuja katika nyumba yao wenyeji walikuwa hawapo. 2. Dadangu atakapofika katika nyumba yetu tutamkaribisha kwa mikono miwili. 3. Nenda mahali unapoishi ukachukue vitu vyako. 4. Mkuu wa kiwanda alimfukuza kazi mtumishi mbaya, naye akalazimika kurudi katika kijiji chake. 5. Uniletee tafadhali picha za kuonyesha sehemu ulikozaliwa. 6. Katika mji wetu kutajengwa kanisa jipya. 7. Mahali mlipoishi tangu utoto ni wapi? 8. Mahali tulipozaliwa ni huko Kigoma. 9. Twende katika nyumba yangu tukatazame mchezo wa televisheni.


8. Переведите следующий текст:

Waluguru na desturi zao

Hapo kale hakukuwa na jina la jumla la watu kwa kutaja kabila la Waluguru. Asili ya watu hao si katika nchi ya Uluguru. Wote ni mchanganyiko wa makabila tofauti, wametoka sehemu mbali mbali za Tanganyika. Asili ya kutoka nchi zao hasa ni kwa ajili ya vita ambayo iliwafanya watawanyike na kukimbia. Utaona vigumu kuamini lakini ukifikiri jinsi nchi zilivyokuwa zikishambuliwa kwa vita hapo kale, inawezekana kabisa kwa watu kuacha nchi zao na kusambaa ovyo ili wapate mahali pa kujisitiri.

Waluguru wote hutaja Palaulanga kwamba ndiko walikotoka walio wengi. Yasemwa kuwa kundi kubwa, wake kwa waume, liliingia nchini nao waligawanywa katika koo nne mbalimbali kwa kufuata zana na anasa walizokimbia nazo. Wa kwanza ni wale walioonekana na mtama. Wa pili walikuwa na chuma. Kundi la tatu ni wale waliokuwa na mifuko ya ngozi, na kundi la nne walikuwa na ndizi zilizoiva. Wote hawa wakaenda mahali mbalimbali na wakipita wakiinua majani nyuma ili usionekane mkondo. Katika koo hizi nne ndimo zimetoka koo nyingine zote. Waliishi sana huko. Vizazi vingi vilitokea na baadaye vita kali sana iliingia na watu waliogopa wakaacha nchi zao wakasambaa vilima vya Uluguru na Nguru.

Hapo kale vita ilikuwa kama ndiyo chakula cha wanaume. Basi Waluguru walikuwa wanashambuliwa kila mara na kila upande; wakawa hawana mahali pa kukimbilia tena. Walikimbia huko na huko wakaacha vizazi vingi nyuma. Walisahau kabisa habari za kabila wakazingatia ukoo.

Hapo kale Uluguru yote ilijulikana kwa majina ya kila sehemu, ilikuwa haina jina la jumla. Majina yao yalipatikana kwa ajili ya tendo au jambo la ajabu lililotokea mahali. Basi hii ndiyo asili ya Waluguru.

Siku zilizopita Waluguru waliishi kwa ushirika mkubwa. Kulikuwa na mji mmoja ambao ulikuwa na watu na majumba mengi. Walikaa kwa raha na amani. Watoto waliwaheshimu wakubwa zao, na wakubwa waliwalea watoto kwa wema. Mmoja akisahau kiko chake au kitu cho chote, atakayekiona atakiweka vizuri na kesho yake atapewa; au kama mwenyewe hajulikani, hukiweka mpaka yule aliyekisahau akikumbuke. Akija hukipata kwa usalama. Kama mmoja amechinja mbuzi, huigawa nyama yake kwa wenzao wote katika mji mzima. Mtu akitaka kujenga nyumba hualika wenzake waje pamoja. Hao huenda kuleta miti, kamba, fito na kadhalika. Waliweza kuimaliza nyumba kwa siku moja tu. Waluguru husema, “Ukipata kusaidiwa na jirani yako, ukumbuke inapasa nawe kumsaidia”.

Binadamu waliishi vizuri sana katika mji huo. Watu walikuwa na bidii ya kazi. Walioana wao kwa wao tu. Kama bwana hawezi kumtunza mkewe, wajomba wa mume na mke hukutana na baba zao. Wakiona kama kweli anashindwa kwa ajili ya uzembe wake tu, humnyanga’nya mke yule na kumpa ndugu mwingine atakayekubali kukaa naye na kumtunza. Bwana ataachwa vivi hivi. Atakubaliwa kukaa na mke ikiwa baba na mama yake watakubali kumtunza yule bibi badala ya mwana wao. Hawezi kukubaliwa ikiwa yeye ni bwana hanithi.

Kama mwenyeji ametengeneza pombe ya kufanyia kazi yo yote, lazima ainywe na wenziwe wala asiifiche na kuinywa peke yake. Kama mashamba ya kulima kwa pombe ni madogo madogo, huweza kuyalima matatu au mawili kwa siku moja. Yategemea wingi wa watu wenyewe.

Kama mtu ye yote amekamatwa ameiba mali ya jirani yake huadhibiwa vikali sana na wazazi wake katika ukoo na kisha wanamlipia faini. Kama kaiba mara mbili au zaidi humpasua kwa jiwe kidole kimoja cha mkono wa kushoto au wa kulia. Ikiwa anaendelea bado, watampeleka mbali wakamwuze. Huko, kama mwendo wake ni ule ule watamwua kwa mkuki au mshale. Kama mtu ameonekana na mali ya mtu mwingine na kama mwenyewe aliyeipoteza aliwahi kuitafuta na hali watu wanajua, yule atakayeonekana nayo ni mwizi. Atahukumiwa na kupewa adhabu kali. Kama mwizi ni stadi na hakuna mahali pa kumwuzia, basi atakatwa mikono yote miwili penye viwiko. Baada ya hapo mikono yake itakuwa kama fimbo tu, kwa vile hatakuwa na vidole.

Ushirika huu ulikuwa mkubwa sana hapo kale. Ulikuwa upo katika kila jambo, kama ugonjwa, ngoma, mashauri mbali mbali, kuzikana n.k. Watu wote walikuwa wakiutumaini. Lakini miaka hii ya karibuni wakubwa ambao walikuwa wakitunza mali ya shirika walivunja mwiko wa jadi. Walikuwa wakitumia zile mali za shirika kwa faida zao. Hawakuwajali wale wana wa ukoo wenye shirika hilo na kwa sababu hiyo, wana wa ukoo walikata tamaa kushirikiana na mkuu wao. Hii ndiyo sababu siku hizi haupo ushirika wa kutosha.


9. Найдите в тексте эквиваленты следующих выражений:

общность людей, возникшая в результате смешения различных племен; причина, побудившая их покинуть свои места; вынуждены были разбегаться в разные стороны; трудно в это поверить; беспорядочно расселяться в поисках убежища; большинство из них; заметали следы, поднимая за собой примятую растительность; на смену пришло много поколений; как хлеб для мужского населения; уже некуда было бежать; оставляя за собой многочисленное потомство; напрочь забыли свои этнические корни; жили как большое товарищество; заключали браки между собой; во всем виновата исключительно его леность; останется сам по себе; зависит от количества людей; пойман на краже соседского имущества; если его поведение не изменится; его будут судить и жестоко накажут; использовали общественную собственность в корыстных целях; не приходится говорить о полноценном товариществе.



10. Задайте 10 вопросов об обычаях народности лугуру.
Msamiati

-a [kiman]jano желтый (о цвете) ushirika (ед.) 1) кооператив

-sikilizana понимать друг друга, 2) товарищество, союз

находить общий язык -shirikiana сотрудничать



-achana 1) разводиться mzao (wa-) потомок

2) отличаться, различаться kizazi (vi-) поколение



mwamba (mi-) 1) скала 2) камень hanithi 1) развратный

-chinja резать, забивать (скот) 2) постыдный, позорный

-simamisha 1) ставить, устанавливать -sambaa распространяться;

2) прекращать, останавливать рассеиваться



mbilikimo (-) карлик; пигмей faini (-) штраф

-nyanganya отнимать, отбирать -lipa faini платить штраф

-tawanyika 1) рассеиваться 2) расселяться -toza faini взимать штраф

ufito (fito) длинная палка, рейка mwiko (mi-) запрет, табу

-kata tamaa отчаиваться, терять -shika mwiko выполнять

надежду, падать духом запрет



tendo (ma-) действие; поступок -vunja mwiko нарушать

-jisitiri прятаться, скрываться запрет

-zingatia учитывать; принимать kiwiko (vi-) запястье

во внимание; иметь в виду -adhibu наказывать



mkondo (mi-) 1) поток, течение -zika хоронить, погребать

2) напрвление (перен.) -hukumu судить, осуждать



mwendo, mwenendo (mi-) поведение hukumu (-) приговор

* * *


Урок 10. Somo la kumi
Грамматика

Желательно-побудительное наклонение в придаточных предложениях цели.


Глагол в желательно-побудительном наклонении, наряду с выражением просьбы, пожелания, побуждения к действию, часто, следуя за другим глаголом, передает целевой характер действия. На русский язык такие обороты, как правило, переводятся с помощью придаточного предложения цели или времени. Субъект действия в главном предложении и в придаточном может быть одним и тем же, либо придаточное имеет свой субъект действия. Например:

Tuliondoka nyumbani mapema tuwahi treni “Мы выехали из дома рано, чтобы успеть на поезд”;

Tuliondoka nyumbani mapema baba yetu awahi kutuaga stesheni “Мы выехали рано с тем, чтобы отец успел попрощаться с нами на станции”.

Связь между главным предложением и придаточным может быть бессоюзная, а иногда союзная. Во втором случае придаточное предложение присоединяется к главному с помощью союзных слов ili, kusudi, mradi:

Anakwenda mbio (ili/mradi/kusudi) asichelewe “Он идет быстро, чтобы не опоздать”.

Синонимичные по смыслу конструкции с инфинитивом употребляются реже. Кроме того, замена на инфинитив возможна только в случаях совпадения субъекта в главном и придаточном предложениях. Сравните:

Alinunua matunda awape/kuwapa watoto wake “Он купил фрукты, чтобы дать своим детям”;

Alinunua matunda tuyachukue safarini “Он купил фрукты для того, чтобы мы их взяли в дорогу”.

Заслуживает особенного внимания конструкция, в которой придаточное предложение цели может присоединяться к главному с помощью односложного глагола -ja “приходить” в отрицательной форме желательно-побудительного наклонения, а смысловой глагол придаточного предложения оформляется показателем -ka-. В этом случае употребление союзов ili/mradi/kusudi не исключается. На русский язык эта глагольная конструкция может переводиться с помощью таких слов, как “чтобы не...”, “с тем, чтобы не...” или “для того, чтобы не...” Например:

Mama akamshika mkono mwanawe (kusudi) asije akaanguka “Мама взяла ребенка за руку, чтобы он не упал”;

Walijificha (ili) wasije wakakamatwa “Они спрятались, чтобы их не поймали”.
Mazoezi

1. Соедините два предложения в одно при помощи союзных слов kusudi, ili, mradi. Не забудьте поменять конструкцию глагола соответствующим образом:

1. Mlunguru mmoja akisahau kitu cho chote, jirani yake hukiweka. Kesho yake Mlunguru atapewa kitu chake. 2. Mtu anapotaka kujenga nyumba hualika wenzake. Nao wanakuja kumsaidia. 3. Kama bwana hawezi kumtunza mkewe jamaa zao hukutana pamoja. Wanatafuta njia ya kumtunza vizuri yule bibi. 4. Mwizi ye yote katika ushirika wa Waluguru aliyeonekana na mali ya mtu mwingine huletwa mbele ya wakubwa. Atahukumiwa na kupewa adhabu kali. 5. Mwenyeji akitengeneza pombe huita wenziwe. Watakunywa pombe hiyo kwa pamoja. 6. Mtawala wa Wachaga aliweza kuwazuia Wamasai. Nao hawakuenea sana nchini kwa wakati ule. 7. Wamasai walitaka kuziingilia sehemu za tambarare tu. Walikusudia kupata malisho kwa ng’ombe zao. 8. Goja alimwambia Mchaga, “Hebu njoo. Nataka kuyaosha majeraha yako”. 9. Tegu akasema, “Sasa sina budi kwenda kwa baba. Ninapaswa kumwomba msamaha”.


2. Переведите предложения, используя глагол -ja в отрицательной форме желательно-побудительного наклонения.

1. Мы решили покрыть крышу нашего дома жестью для того, чтобы она не протекала во времях сильных дождей. 2. Они испугались, как бы им не опоздать на автобус и не пропустить очень интересную поездку. 3. Тебе следует заранее подготовиться к открытию конференции, чтобы не пришлось это делать в последнюю минуту. 4. Необходимо построить здесь плотину для того, чтобы вода при разливе реки не нанесла ущерба местным жителям. 5. Хорошо обдумай свое решение, чтобы не попасть в смешное положение. 6. Осторожнее спускайтесь в пещеру, чтобы не повредить наскальные рисунки. 7. Давайте обсудим весь план еще раз с тем, чтобы ничего не забыть. 8. Надо им помешать, чтобы они не истребили всех носорогов в этих местах. 9. Будь внимателен, когда поплывешь по этой реке, с тем, чтобы на тебя не напали крокодилы. 10. Крестьяне очень осторожно обрабатывают сизалевые плантации, чтобы не пораниться о колючие листья этого растения.


HABARI ZA WAMASAI

Inajulikana kuwa Wamasai hawakufika nchini Tanganyika mpaka miaka inayokaribia mwaka 1800. Kabla Wamasai hawajafika katika nchi hii, walikuwa wakikaa katika upande wa Afrika ya Mashariki unaoitwa sasa Kenya kwa miaka mingi, wakahama taratibu wakiingia katika nchi hii wapate malisho kwa wanyama wao. Katika mwendo wao wa kuhama waliingia nchi za tambarare zilizo chini ya mlima Kilimanjaro kwa upande wa kaskazini, na kwa wakati ule hawakuwa wengi, maana mtawala wa Wachaga jina lake Rongo aliweza kuwazuia wasienee sana.

Wamasai walitaka kuingia katika zile nchi za tambarare zilizo chini ya mlima Kilimanjaro, na kwa hivi walikuwa hawana budi wapite upande huu au upande huu, ndipo waweze kuziingilia. Lakini Wachaga walikuwa wamekwisha weka imara utawala wao, na laiti Wamasai wangalitaka kushika nchi yao wangalikuwa na kazi ngumu sana kuwashinda*. Lakini Wamasai walikuwa hawana nia ya kushika nchi za milimani, walitaka malisho yaliyo chini ya mlima tu, na hayo ndiyo yaliyoleta ugomvi kati ya Wamasai na wenyeji.

Wamasai walizidi kupata nguvu na kuingia katika nchi za tambarare kukaa. Makabila mengine yalisumbuliwa mara kwa mara na Wamasai wakanyang’anywa mali zao hasa ng’ombe.

Kwa muda Wamasai walizuiliwa wasienee katika nchi zilizo mbali zaidi, maana milima ile inayopita kati kati ya Tanganyika ambayo imepakana na bonde refu liitwalo Rift Valley, ilikuwa kama boma la kuwalinda watu wa pande hizo. Tena wenyeji wanaokaa chini ya milima hiyo ni watu hodari sana kwa vita, na mara nyingi waliwapiga na kuwafukuza Wamasai na kuwahasiri sana. Basi kwa hivi Wamasai hawakuweza kupanda juu ya milima na kuivuka mipaka kati ya mwaka 1850 na 1860 na hapo walikutana na Watatoga. Kabila la Watatoga ijapokuwa lilikuwa na nguvu nyingi sana, lilivunjwa na kuangamizwa kabisa na Wamasai.

Baadaye makabila mengine yalipata hasara nyingi sana kwa Wamasai, isipokuwa yale tu yaliyokaa nchi za milimani ambako kuna miamba mikali isiyopandika upesi. Lakini Wamasai walipoanza kwenda kusini zaidi walionana na makabila mengine ambayo hawakuweza kuyashinda. Na siku zile Wazungu walifika katika nchi hizi, basi kazi yao ya kupigana na kunyang’anya ilikwisha.

Mzungu mmoja jina lake Burton aliyefika katika nchi hizi katika miaka iliyokaribia 1856, amesimulia ya kuwa alipofika Wamasai walikuwa wameingia katika nchi ya Ugogo, lakini hawakuonekana kwa wingi. Burton mwenyewe hakuwaona, ila alisikia habari zao tu.

Katika mwaka 1891 ugonjwa wa sokoto, yaani kuhara sana, uliingia katika makundi ya ng’ombe ya Wamasai, na wengi mno walikufa. Wamasai tokea zamani hawalimi mashamba, basi sasa waliona dhiki kabisa, maana damu na maziwa ya ng’ombe ndiyo chakula chao na sasa hayakuwatosha. Walikuwa maskini kabisa, na watu wa kabila moja waliwaingia** wakawaua wengi sana. Wengine walikimbia wakajificha katika nchi za Iringa na Ugogo.

Mzungu mmoja jina lake Baumann aliyeshuhudia taabu iliyowapata Wamasai wakati huo, aliandika maneno kama haya yanayofuata: “Watu hao maskini walitusikitisha sana, walikuwa wakizunguka kambi yetu. Walikuwako na wanawake waliodhoofu sana hata wakawa kama mifupa mitupu, na watoto wao walifanana na vyura kuliko wanadamu. Wazee wenye kichaa cha njaa wakawa katika taabu na karibu kufa. Watu hao walikula kitu cho chote. Nyama ya mizoga ya punda waliokufa ilikuwa kama karamu kwao wakakubali kwa furaha mifupa na ngozi na hata pembe za ng’ombe. Wazazi walitaka kubadilisha watoto wao kwa kipande kidogo cha nyama...”

Tangu wakati huo Wamasai wamepona, na makundi yao ya ng’ombe yameongezeka sana, tena wamekuwa watu wenye mali nyingi mno. Lakini sasa si kama walivyokuwa, maana wameoana sana na Wabantu wa makabila mengineyo na kwa hivi wanazidi kila mwaka kuchanganyika pamoja nao. Ingawa hata sasa wengi wana sura za Kihamitic, lakini wengi wamefanana sana na Wabantu. Hata sasa Wamasai hufuata desturi zao za kuishi kama zilivyokuwa zamani, na hasa ni wachungaji wa ng’ombe na kwa kawaida hufuata maisha ya kutembeatembea wakitafuta malisho kwa makundi yao.

Sasa tufikiri kidogo jinsi walivyovuta watu wa makabila mengine kuiga desturi zao na mavazi yao. Watu wa makabila mengine hawakuwaiga sana isipokuwa desturi zao za kivita, na pengine za dini yao. Watu wengi walianza kutumia silaha kama zile walizotumia Wamasai, wakavaa mavazi yao ya kivita. Wachaga hasa walifuata sana desturi hizo katika miaka iliyopita. Kadhalika watu wengine waliiga namna zao za kusokota nywele na kujipaka udongo ule mwekundu.

Wamasai hawakujifanya watawala kama vile walivyojifanya wale Wahamitic walioingilia nchi ya Uganda. Walijiweka juu ya makabila mengine yaliyo madogo, lakini makusudi yao ya kupigana hayakuwa ya kushika nchi wapate kuzitawala, ila kunyang’anya watu ng’ombe zao na kupata malisho kwa makundi yao. Hawakusimamisha ufalme wala kuweka utawala, ila walichafua nchi na kuwasumbua watu mpaka wote walikuwa wakikaa kwa wasiwasi. Kwa kifupi, mwanzo na mwisho wao ni ng’ombe na malisho, basi.


Maelezo

* “...и если бы только масаи намеревались захватить их земли, им (банту) бы пришлось очень потрудиться, чтобы победить их”. Показатель условно-сослагательного наклонения -ngali-/-ngeli-может употребляться в сочетании с сюзом laiti “вот если бы, если бы только”, который подчеркивает нереальность или невыполнимость действия. Другие примеры:

Laiti tungalijua shida zake, tungaliweza kumsaidia “Вот если бы мы только знали о его проблемах, мы смогли бы ему помочь!” (Но мы не знали и не помогли).

Ningelipanda mbegu zangu laiti mvua ingelinyesha asubuhi “Я бы посеял свои семена, если бы утром прошел дождь” (Но дождя не было, и я не посеял семена).

Сравните условно-нереальное действие, выражаемое с помощью показателя -ngali-/-ngeli-, и условно-реальное действие в условных придаточных предложениях с показателем -ki-:

Dada angelifika leo, ningelipika keki “Если бы сестра приехала сегодня, я бы испекла пирог” (Но она не приехала, и я не испекла пирог);

Dada akifika leo, nitampikia keki “Если сестра приедет сегодня, я испеку ей пирог” (Возможно, она приедет, и тогда я испеку ей пирог).
** Глагол -ingia/-ingilia “входить; проникать” здесь может переводиться глаголом “нападать”.

Mazoezi

3. Дайте русские эквиваленты:

walihama taratibu; walitaka wapate malisho tu; mwendo wa kuhama; waliingia nchi za tambarare; wameweka imara utawala wao; hayo yalileta ugomvi; alizidi kupata nguvu; makabila mengine yalisumbuliwa mara kwa mara; boma la kuwalinda watu; makabila yalipata hasara nyingi; mwamba usiopandika; tokea zamani; waliona dhiki kabisa; maziwa hayakuwatosha; taabu iliyowapata; wanawake waliodhoofu; kubadilisha watoto kwa kipande cha nyama; wanazidi kuchanganyika na Wabantu; hufuata maisha ya kutembeatembea; kuiga desturi na mavazi yao; walijiweka juu ya taifa jingine; walisimamisha ufalme wao.


4. Подтвердите или опровергните следующие высказывания, исходя из содержания текста:

1. Wamasai walifika nchini Tanganyika zamani sana, yaani karne ya 16. 2. Wamasai waliingia katika nchi hii kwa kuwa na nia ya kujipatia utawala juu ya Wabantu. 3. Ingalikuwa ni rahisi sana kwa Wamasai kuziingilia sehemu za tambarare zilizo chini ya mlima Kilimanjaro kwa vile Wachaga walivyokuwa dhaifu sana. 4. Nia ya Wamasai ya kupata malisho kwa ng’ombe zao ndiyo iliyoleta ugomvi baina yao na wenyeji. 5. Wamasai walizuiliwa wasienee mbali zaidi kwa sababu Watatoga waliwapiga na kuwaangamiza kabisa. 6. Makabila mengi yalipata hasara kubwa kutoka kwa Wamasai hasa wale walioishi milimani. 7. Baada ya Wazungu kufika Afrika ya Mashariki Wamasai waliendelea na kazi yao ya kupigana na kunyang’anya mali ya makabila mengine. 8. Mzungu maarufu Burton alikutana na Wamasai mara nyingi, alichunguza maisha na desturi zao. 9. Wamasai waliona dhiki kabisa baada ya makundi ya ng’ombe zao kufa kwa ugonjwa wa hatari. 10. Maisha ya Wamasai ni magumu sana mpaka leo, nao ni maskini sana kwa sababu wanakosa ng’ombe zao. 11. Wamasai wa leo ni wawindaji na wakulima na waliacha zamani maisha yao ya kuhama hama. 12. Leo hakuna makabila ya Wabantu yanayopenda kuiga desturi za Wamasai.


5. Найдите в тексте суахилийские эквиваленты:

кочевать в поисках пастбищ для скота; проникать вглубь страны; равнинная местность; устанавливать прочное господство; захватывать горные районы; вызывать распри; укреплять свои силы; лишаться имущества; встречать преграды; искусные воины; истреблять полностью; сталкиваться с крайней нуждой; скрываться бегством; кожа да кости; голодная истерика; ассимилироваться с другими племенами; перенимать обычаи; способ заплетания волос; одерживать верх над другими; ухудшать жизнь в стране.

1   2   3   4   5   6   7   8   9   10   ...   25


Verilənlər bazası müəlliflik hüququ ilə müdafiə olunur ©atelim.com 2016
rəhbərliyinə müraciət