Ana səhifə

П р е д и с л о в и е данный учебно-методический комплекс


Yüklə 2.19 Mb.
səhifə9/25
tarix26.06.2016
ölçüsü2.19 Mb.
1   ...   5   6   7   8   9   10   11   12   ...   25

utegaji расставление ловушек tukio (ma-) случай, событие

kielezo, kielelezo 1) объяснение uchunguzi (ед.) исследование

2) иллюстрация



* * *

Урок 12. Somo la kumi na mbili

(marudio)
1. Переведите текст:

Majina ya Waswahili

Waswahili kama jamii pana wana utaratibu wa kuwapa watoto wao majina. Waswahili hawana jina la kubatizwa kwa vile wao wanaamini kuwa mtoto akizaliwa huwa hana dhambi. Mtoto akizaliwa tu huchukuliwa nje na kuonyeshwa jua. Baadaye hupewa jina hapo hapo na kuanza kutambulishwa kwa wazazi wake na jamaa huku akiulizwa jina lake kama vile ataweza kujibu.

Majina ya Waswahili hutofautiana kutoka eneo moja kwenda jingine. Lakini athari ya dini ya Kiislamu imetoa mwanya kwa watoto wa Kiswahili kuchukua majina yenye mnasaba wa dini. Wapo watoto wa Kiswahili wanaopewa majina ya manabii. Waswahili huitwa Mussa, Issa, Daudi au Muhammadi. Yote hayo ni majina ya mitume.

Miongo au majira huzaa majina ya watoto wa Kiswahili. Wale wazaliwao wakati wa mvua kubwa huitwa Masika. Watoto hupewa majina ya miezi ya kalenda ya Kiislamu kwa kuitwa Rajab, Ramadhani, Shaabani au Ashura.

Matukio makubwa katika ukoo au jamii nayo huibua majina ya Kiswahili. Watoto huitwa Idi au Maulid kama wamezaliwa wakati wa kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad.

Utoto ni wakati ambao watoto wadogo hupewa majina ya kitoto ambayo ingetarajiwa hayadumu. Huweza mtoto kuitwa Panya, Kidagaa au Kicheche. Wenyewe Waswahili huita majina ya utotoni. Kawaida jina hilo hutakiwa lidumu kwa muda wa siku saba. Baadaye hupewa jina jingine kwa maana ya jina la ukubwani, nalo hilo huselelea nalo.

Waswahili hupenda kumpa mtoto jina ambalo mzazi analipenda. Lakini wakati mwingine shida na taabu za mzazi huibua jina na kumpa mtoto wao. Yapo majina kama Taabu, Majuto, Sijaamini, na Mashaka. Yapo pia majina ya mafumbo na mikasa yanayohusu mambo ya wazazi, lakini watoto hupewa majina hayo na kuselelea nayo kama Chekanaye, Mkemimi, Chausiku, Sikujua, Siwatu au Sikudhani.

Lakini matukio muhimu katika jamii ya Waswahili huibua majina ya Kiswahili. Wapo watu waitwao Muungano kwa sababu ya kuzaliwa siku ya kuundwa Muungano. Kama wakati mtoto anazaliwa eneo hilo lilikuwa na njaa, basi mtoto huitwa Njaa.

Watoto wa Kiswahili hupenda kupewa majina ya babu zao. Wengine hupewa majina ya wazazi wao. Au wakati mwingine watu maarufu duniani au katika jamii hiyo hufanya watoto kuchukua majina yao na kuishi nayo hadi kufa.

Waswahili wana majina ambayo ni kwa wanawake tu kama vile Aziza, Fatma, Salama, Time au Zawadi. Pia yapo majina ya wanaume tu kama Pandu, Jecha, Juma au Omari. Yapo majina ambayo watoto wa Kiswahili hupewa bila kujali ni mwanamke au mwanamume. Hivyo si ajabu watoto wanawake na wanaume huwa wanaitwa Maulid, Mtumwa, Pili, Mosi au Masika.

Wakati mwingine majina hutofautiana kidogo kati ya mwanamke na mwanamume. Mwanamke huitwa Aziza na mwanamume huitwa Aziz. Mwanamke huitwa Ashura na mwanamume huitwa Ashur. Pia wanawake huitwa Khamisa, Zakiya, Shamsa na Rashida. Wakati wanaume wanaitwa Khamis, Zaki, Shamsu na Rashid.

Hakuna jina lolote apewalo mtu ambalo halina maana au tafsiri yake. Yawezekana watoto wenyewe wanaopewa majina hayo hawajui maana ya maneno hayo. Kwa vyo vyote vile watoto wa Kiswahili wanapaswa kupewa majina yenye staha kwa jamii na yeye mwenyewe.


2. Дайте синонимы следующих выражений или объясните их значение на суахили:

jamii ya watu; -fanya dhambi; -tambulishana; -toa mwanya; -ibua majina mapya; cheche za moto; lugha ya mafumbo; mkasa wa kusikitisha, -onyesha sataha kwa mtu; -maliza jambo kwa vyo vyote vile; kutojali kitu.


3. Переведите:

  • Зарамо – жители побережья, населяющие окрестности Дар эс Салаама. Многие из них – мусульмане. В религии и культуре у них много общего с жителями островов Пемба, Унгуджа, Мафия и Коморских островов. Они очень мало занимаются скотоводством, а некоторые совсем не держат коров. Зарамо живут за счет земледелия. Они выращивают кукурузу, маниок, бататы, а также арахис и рис.

  • Иногда зарамо разводят кур, а многие из них занимаются пчеловодством. Козы и овцы крайне редко встречаются в их хозяйстве. Люди этого племени предпочитают жить отдельными домами, как соседи, а не все вместе в одной деревне. Общая численность зарамо – около 200 тысяч человек.

  • Рунди – очень большой этнос, насчитывающий два миллиона человек. Но только несколько тысяч из них проживают на территории Танзании. Их основное занятие – разведение коров, коз, овец, а также кур и пчел. Кроме этого, они выращивают много зерновых культур, кукурузу, батат.

  • Ньямвези живут к югу от озера Виктория. Недалеко от них проживают сукума. Это два самых крупных народа в Танзании. В культуре и в быту этих двух этносов много общего. Они выращивают традиционные сельскохозяйственные культуры, подвешивают на деревьях рядом с домом ульи для пчел. А вот коров почти не разводят из-за мухи цеце, которая вызывает опасное заболевание, убивающее скот.

  • Масаи живут на севере Танзании, в области Аруша. Здесь их около 65 тысяч, а большая их часть проживает в Кении. Следуя своим традициям, масаи питаются мясом, молоком и пьют кровь своих коров. Разводят они также коз, ослов и собак. Пищу из зерна они едят с огромной неохотой.


4. Ответьте на вопросы.

1. Makabila gani nchini Tanzania ni wakulima hasa? 2. Ufugaji ni kazi kuu kwa makabila gani? 3. Ni Wabantu gani wanaopenda kuweka mizinga ya nyuki karibu na nyumba zao? 4. Makabila yaliyo makubwa zaidi miongoni mwa Wabantu wa Tanzania ni yapi? 5. Ni mazao gani yaliyo maarufu zaidi kwa wakulima nchini? 6. Wenyeji wa kabila gani hulala nyumbani pamoja na wanyama wao, na kwa sababu gani? 7. Ni hatari gani inayowafanya Wanyamwezi kukataa kufuga ng’ombe? 8. Ni lipi kati ya makabila yaishiyo Tanzania linalopenda kutumia damu ya ng’ombe kama chakula chake? 9. Ndizi ni chakula kikuu kwa kabila gani? 10. Wasukuma huishi katika nchi gani?


5. Переведите рецепты национальной кухни суахилийцев:

    • Ndizi mbichi za Kukaanga

Menya ndizi mbichi na kuzikata katika vipande vipande. Pasha mafuta moto. Kaanga ndizi mpaka ziwe za rangi ya kahawia. Toa ndizi katika mafuta na weka katika sahani yenye karatasi nyeupe, ili mafuta yatoke. Unaweza kula pamoja na nyama, samaki, mboga za majani. Mafuta yaliyobaki yanaweza kutumika kwa kupikia kingine.

    • Ndizi za nyama

Katakata nyama kadiri ya mahitaji, vitunguu na nyanya. Kaanga nyama na vitunguu mpaka vipate rangi ya kahawia. Weka nyanya na kaanga. Ongeza maji kidogo. Weka ndizi kwenye nyama. Pika mpaka zimeiva, pakua na andalia.

    • Mzinga wa Nyama

Kata nyama isiyo na mfupa katika vipande vipana. Toa sehemu ya mafuta kisha uikatekate vipande vidogo vidogo. Changanya chumvi, vitunguu, pilipili na maharagwe machanga yaliyokatwakatwa na kuchemsha kidogo na sehemu ya nyama ya mafuta. Tia vitu hivyo ulivyochanganya na vingirisha ndani ya vipande hivyo vya nyama, funga na uzi. Vingirisha kifurushi hicho katika unga wa ngano. Pasha mafuta moto na kaanga vifurushi hivyo mpaka viive na viwe vya rangi ya kahawia. Unaweza pia kuoka au kupika vifurushi hivyo kwa kuchemsha.
6. Переведите:

  1. Большинство населения Танзании составляют коренные жители, говорящие на языках банту.

  2. Суахили стал языком общения очень большой части жителей Восточной Африки.

  3. Этносы, не являющиеся бантускими, обитают преимущественно на окраинах Танзании, как, например масаи, проживающие неподалеку от города Аруша на севере Танзании.

  4. Масаи ведут полукочевой образ жизни и занимаются скотоводством. В одном месте они живут до тех пор, пока там не кончится корм для скота.

  5. Масаи очень неохотно продают свой скот, так как скот дает им пищу, одежду и даже питье. Излюбленный напиток для масаи - кровь коровы, смешанная с молоком.

  6. Масаи охотятся очень искусно, хотя редко убивают животных для своего пропитания. Чаще они убивают хищников для того, чтобы предупредить их нападение на свои стада.

  7. Каждая народность в Танзании отличается своими характерными особенностями: говорит на своем языке, имеет национальную одежду, украшения, оружие, свои песни и танцы, по-своему строит дома.

  8. Большинство жителей покрывают крыши своих домов соломой или пальмовыми листьями, а дома состоятельных людей покрыты железом.

  9. Черное дерево является самым распространенным материалом для вырезания фигурок и масок, искусства, которым широко занимаются африканцы.

  10. Различные статуэтки, маски и сувениры из черного дерева, искусно изготовляемые маконде, пользуются большим спросом у туристов.

  11. Недалеко от Дар эс Салаама расположен музей национального жилища народов банту, в котором можно увидеть различные типы домов, построенных в их подлинном виде.

  12. Ньямвези любят украшать свое жилище так, чтобы оно радовало глаз.


7. Перескажите следующий текст, заменив прямую речь на косвенную:

Mwizi na kiatu

Palikuwa na mtu, amechukua kondoo wake, akaenda hata njiani akaona kiatu cha mguu mmoja kizuri sana. Akasema, “Kiatu hiki kizuri, walakini kimoja tu hakifai”. Akaenda zake. Hata akafika mwendo wa nusu saa akaona kiatu cha pili, namna moja na kile. Akasema, “Nitamfunga kondoo wangu hapa, nikakitwae kiatu kile nilichokiona kwanza, na hiki nije hapa nichukue na kondoo wangu, niende zangu”. Akamfunga kondoo wake pale, akarudi kwenda kukitwaa kile kiatu kule. Akaona kiatu hapana. Aliyekitia kiatu njiani ndiye mwizi, akachukua kiatu na kondoo.


8. Познакомьтесь с некоторыми суахилийскими приметами:

  • Kula gizani ni kula na shetani.

  • Kushona nguo mwilini kunaleta ufukara.

  • Kufagia usiku kunakimbiza baraka.

  • Mwenye kufanya mazoea ya kukaa kizingitini atakawia kuoa.

  • Mwenye kula mguu wa kuku atakuwa daima katika mwendo tu.

  • Kukutana na paka mweusi usiku ni nuhusi.

  • Kukaa kitini na kupunga miguu mbele na nyuma ni kufukuza riziki.

  • Kukata kucha kwa meno ni alama ya ufukara.

  • Mabuibui wengi nyumbani wanasabibisha mtu kuwa na sahau.

  • Madoa meupe juu ya kucha za vidole ni alama ya bahati njema.


9. Дайте эквиваленты на суахили:

принижать достоинство человека; служить помехой на пути прогресса; взимать штраф за нарушение общественного порядка; понимать друг друга с первого слова; все насекомые кроме пауков; быть свидетелем удивительного приключения; музейные редкости; скудные доходы; верить в предрассудки; спрятаться в укрытии; свобода вероисповедания; напрасно беспокоиться; уровень развития человечества; окрестить ребенка в соответствии со своей верой; познакомить родителей со своей невестой; благоприятное влияние климата на здоровье; поднимать на поверхность затонувший корабль; говорить загадками; игнорировать предостережения; очистить недозрелые бананы; разогреть суп из фасоли; пшеничная мука; сахарная пудра; испечь вкусный хлеб; подышать свежим воздухом; забрать власть в свои руки.


10. Расскажите на суахили:

А/ о национальных традициях своего народа;

В/ о наиболее распространенных именах;

С/ о приметах, в которые вы верите.




Msamiati

jamii (-) общество, коллектив -jali обращать внимание,

-batiza крестить, совершать принимать во внимание

обряд крещения -a kahawia кофейного цвета;



dhambi (-) 1) грех 2) проступок, темно-коричневый

преступление -menya чистить,



-tambulisha знакомить, представлять снимать кожуру

athari (-) влияние, воздействие -oka печь, выпекать

-toa mwanya давать повод, -kamilifu полный;

зацепку (перен.) законченный



-vingirisha крутить, закручивать mnasaba (mi-) родство,

-pasha moto нагревать, родственная связь

подогревать, ставить на огонь dagaa (-;ma-) сорт



nabii (ma-), mtume (mi-) пророк мелкой рыбы

-ibua 1) поднимать (на поверхность nuhusi, nuksi (-) неудача,

воды) 2) творить, создавать несчастье

staha (-) почет, уважение; -twaa брать, забирать

почтение buibui (ma-) паук



fumbo (ma-) 1) тайна, загадка -punga махать; раскачивать

2) намек; аллегория cheche (-) искра



-punga hewa выходить ushirikina (ед.) суеверие,

погулять (подышать воздухом) предрассудок



kwa vyo vyote vile в любом kiazi kitamu (vi-) батат,

случае; во что бы то ни стало сладкий картофель


* * *

IV. UCHUMI WA NCHI

Экономическое развитие

Урок 13. Somo la kumi na tatu

Грамматика

Релятивный формант неодушевленных классов в функции личных местоимений


Именные классы неодушевленных предметов в языке суахили, как известно, не имеют личных местоимений. Поэтому их функцию в ряде случаев выполняет релятивный формант, согласованный по соответствующему классу. Так, он может присоединяться к союзу na: nacho, nazo, nalo и т. д. Употребление таких форм встречается в двух контекстах:

а/ в значении “…и/а он/она/они (мост, книга, слова и т.п.)”: nalo/ nacho/ nayo (daraja, kitabu, maneno n.k.);

б/ в значении “с ним/с ней/с ними (со словарем, с ключом, со стульями и т.п.)”: nayo/ nao/ navyo (kamusi, ufunguo, viti).

Сочетание релятивного форманта с союзом na в контексте б/ встречается в конструкциях, где присутствует недостаточный глагол -li с релятивом объекта: viwanda tulivyo navyo “имеющиеся у нас заводы” (букв. “заводы, мы-с-которыми, с-ними”); mpango walio nao “имеющийся у них план” (букв. “план, они с которым, с ним”) , bidhaa mkulima alizo nazo “товары, которые есть у крестьянина” (букв. “товары, крестьянин с которыми, с ними”).

Для прошедшего/будущего времени глагола -wa употребляется релятив, который согласуется по объекту и повторяется в сочетании с союзом na: viwanda tulivyokuwa/tutakavyokuwa navyo “заводы, которые у нас были/будут”; mawazo wazazi waliyokuwa nayo “мысли, которые были у родителей”. Обратите внимание на порядок слов. Первую позицию перед глаголом занимает существительное, выражающее логический объект, а затем субъект.

Релятив в сочетании с союзом na сохраняется даже в конструкции с союзом amba-, который, в основном, употребляется для прошедшего и будущего времени: viwanda ambavyo tulikuwa navyo.

Аналитическим способом строятся и предложные конструкции типа “с которым”, “у которых”, ”для которой” и т.д. , поскольку в суахили недопустимо сочетание предлога с союзом. Только вместо na с релятивом используется соответствующий предлог как, например, juu yake, ndani yake, местоимения локативного класса huko, kwake и т.п. Например:

Meza ambayo kadi ziko juu yake ni ile “Стол, на котором лежат открытки, вон тот”;

Pango tuliloingia ndani yake ni la kale kabisa “Пещера, в которую мы вошли, очень древняя”;

Nchi waliyoishi huko iko mbali “Страна, в которой они жили, находится далеко”;

Mambo dadangu aliyonieleza habari zake ni ya kutisha mno “То, о чем мне рассказала сестра, ужасно”.

Отрицание можно образовать через релятив в глаголе или с союзом amba-: viwanda tusivyo navyo или viwanda ambavyo hatuna. Обратите внимание, что во втором варианте, т.е. там, где имеется конструкция со союзом amba- в настоящем времени, релятив не повторяется. Но, если речь идет о прошедшем или будущем времени, то его обязательно надо повторить в сочетании с союзом na в обоих вариантах – и с союзом amba- и без него: viwanda tusivyokuwa navyo и viwanda ambavyo hatukuwa navyo. Предложные слова сохраняются в любом случае, как того требует контекст: nyumba isiyo na bustani nyuma yake и nyumba ambayo haina bustani nyuma yake. С другими глаголами предлоги и предложные слова также сохраняются при отрицании: meza ambayo kadi haziko juu yake; pango tusiloingia ndani yake; nchi ambayo hawakuishi huko и т.д.



Mazoezi

1. Переведите, обратив внимание на личные местоимения:

1. Мы хотим гулять в лесу, а они в парке. 2. Я купил новую книгу, и она очень интересная. 3. Мама принесла бананы, а они оказались незрелые. 4. Вы идите направо, а мы пойдем налево. 5. Вчера шел дождь, и он был очень сильный. 6. Мы посадили во дворе деревья, а они не выросли. 7. Дети пришли в музей, а он был закрыт. 8. Это озеро очень известное, оно названо именем королевы Виктории. 9. Почему все знают это слово, а ты нет? 10. Эта стена построена из камня и она очень крепкая. 11. Ты возьми молоток, а вы гвозди.


2. Переведите следующие конструкции с релятивом и сделайте их отрицательными с союзом amba- и без него:

miti tuliyokuwa nayo; maji wasafiri waliyo nayo; bandari nchi iliyokuwa nayo; silaha adui alizo nazo; vyama mlivyokuwa navyo; bonde wanyama wanalotembea huko; wageni babangu aliotueleza habari zao; mlima ulio na mimea juu yake; nyumba iliyo na bustani mbele yake; desturi makabila yalizokuwa nazo; uhuru watu walio nao.


3. Переведите словосочетания, используя союзное слово amba- и без него. Поставьте их в отрицательную форму:

словари, которые у них были; ружья, которые будут у нас; соседи, которые у нее были; подарки, которые есть у детей; проблемы, которые есть у моего друга; лекарства, имеющиеся у врача; картины, которые будут у художника; дороги, которые у вас будут; предрассудки, которые имеются у них; земля, которая будет у бедняков; планы, имеющиеся у правительства; продукты, которые были у повара; удобрения, имеющиеся у крестьян.


4. Переведите:

1. Друзья, с которыми я учился в институте, часто пишут мне письма. 2. Картина, о которой я тебе рассказывал, экспонируется в соседнем зале. 3. Мы хотим еше раз увидеться с теми людьми, с которыми путешествовали по Европе. 4. Он уже истратил все деньги, которые у него были. 5. Фильм, о котором ты слышал, будут показывать завтра. 6. Вершина, до которой хотят добраться туристы, покрыта вечными снегами. 7. Соседи, с которыми я постоянно ссорился, переехали на другую квартиру. 8. Дедушка, у которого я жил в деревне в прошлом месяце, переехал в город. 9. Экзамены, которые будут у студентов в этом семестре, закончатся до нового года.


VIWANDA VYETU

Sehemu kubwa ya raia wa nchi hii ni wakulima, na mazao ya aina mbalimbali hutokana na juhudi zao. Mazao mengine humfaa binadamu mara tu yavunwapo, lakini mengine ni lazima yapitie kwenye viwanda kabla hayajawa katika hali ya kutumiwa.

Hapo zamani, mazao yetu yalikuwa yakiuzwa katika nchi za nje na huko bidhaa mbali mbali zilitengenezwa kutokana nayo. Bidhaa hizo zilirudishwa huku baada ya kupangiwa bei ambayo wakati mwingine ilikuwa zaidi ya maradufu ya bei ya mazao yaliyotumika kuzitengeneza. Kwa mfano mkonge uliolimwa nchini na kusafirishwa mpaka Ulaya. Bidhaa zake zirudipo huwa na bei kubwa kutokana na gharama za usafirishaji pamoja na ushuru wa bandari. Pia tulilima kahawa na pamba, lakini shati au kanzu zetu za pamba nazo zilitengenezwa nchi za nje. Kahawa yetu ilirudi nchini imezibwa katika makopo toka nchi za nje ili tuuziwe. Nchi yetu haikuwa na viwanda vyo vyote kwa muda mrefu sana. Serikali za kikoloni zilipendelea nchi yetu iwe ghala ya mazao yanayotakiwa katika kutengeneza vitu katika viwanda vya kwao.

Baada ya uhuru wananchi walitambua mara moja kuwa hali ya kutegemea viwanda vya nchi nyingine haipatani na hali ya kujitawala. Serikali yetu ilifahamu wazi jambo hili, ikaanza kufanya bidii ili kuanzisha utengenezaji wa vitu mumu humu nchini. Viwanda vya kutengeneza viatu, sigara, nyembe, vitu vilivyofumwa na viwanda vya kutengenezea nguo kadha wa kadha vilianzishwa wakati wa kuelekea uhuru. Utengenezaji wa makopo ya kutilia vyakula, utengenezaji wa rangi, mazulia ya kamba za katani, bia, soda na saruji ulianzishwa baadaye. Mambo haya, pamoja na viwanda vilivyokuwa vimo nchini siku nyingi kama vile viwanda vya kutengeneza chai na katani, ndio ulikuwa msingi bora wa biashara na uchumi wa nchi yetu. Bila ya shaka jambo hili lilipunguza bei za bidhaa, kwani hapakuwapo gharama kubwa za kuyasafirisha mazao mpaka kwenye viwanda. Kadhalika ujenzi wa viwanda hapa nchini uliongeza nafasi za kazi kwa wananchi.

Kila mmojawetu* hutumia vitu ambavyo vimetoka katika viwanda, kama nguo, viatu, viberiti, misumari, sukari, sabuni na vingi vinginevyo. Mahitaji mengi ya watu huzalishwa na viwanda vya kati na vidogo. Vingi vya viwanda hivi viko miji na hasa Dar es Salaam. Sehemu za vijijini nako** pia kuna viwanda vidogo vidogo ambavyo jukumu lake ni kuzalisha bidhaa za ufundi wa jadi au wa kazi za mikono ambazo huweza kutengenezwa na mtu mmoja, vikundi au kijiji kizima.

Zaidi ya viwanda kama hivyo kuna viwanda vingine katika Tanzania, kwa mfano viwanda vya usindikaji mazao, viwanda vya nyama, viwanda vya mbao na karatasi, viwanda vya chuma na zana za chuma. Kuna viwanda vya zana za kilimo. Ingekuwa kazi kubwa sana kutaja majina ya viwanda vyote tulivyo navyo nchini Tanzania. Itakuwa rahisi zaidi kufahamu hali ya viwanda kama tutavitenga kwa kutegemea madhumuni yake.

Haiwezekani kujenga viwanda kila mahali nchini. Jambo hili husababishwa na masharti muhimu yapasayo kuangaliwa kabla ya kufikia uwamuzi wa kujenga kiwanda. Kwa kawaida huwa vizuri zaidi kujenga kiwanda kipya mahali ambapo pameisha jengwa viwanda vingine kwa sababu ni rahisi kuwapata wafanya kazi katika sehemu hiyo, hasa wale wenye ujuzi unaohitajiwa katika uendeshaji wa kiwanda kama hicho.

Kama kiwanda kipya kitajengwa katika sehemu ambayo ina viwanda vingine, haiyumkiniki kuwa kiwanda hicho kitaweza kupata mahitaji mengine ya lazima kama vile nguvu za umeme. Hili ni jambo muhimu kwani shughuli zote za kuzungusha mitambo*** katika viwanda vya kisasa hutegemea sana nguvu za umeme.

Sehemu nyingine zimepata bahati ya kuwa na njia nzuri za usafiri. Lisingekuwa jambo la busara kujenga kiwanda mahali ambapo bidhaa hazingeweza kusafirishwa baada ya kutengenezwa. Sababu hizi ndizo zinazofanya viwanda vingi vijengwe katika miji kama Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Tanga.

Lakini wakati mwingine kiwanda hujengwa katika sehemu inayotoa mazao yatakayoshughulikiwa na kiwanda hicho. Kiwanda cha mbao kwa mfano, ingefaa kijengwe mahali palipo na miti kwa wingi kwani ni vyepesi zaidi kusafirisha mbao kutoka kiwandani kuliko kusafirisha magogo kutoka msituni. Mifano mingine ni kama ile ya viwanda vya kusaga kahawa, kutengeneza sukari na kusokota pamba.

Viwanda vingine hujengwa karibu na wateja au wanunuzi wa bidhaa zitakazotengenezwa, kwa sababu bidhaa nyingine ni nzito au huweza kuharibika safarini. Mifano ya viwanda hivyo ni kama cha kutengeneza makabati na kile cha kutengeneza vioo.

Kiwanda kipya huweza kufuata kiwanda kingine kilichotangulia kujengwa ikiwa kiwanda hicho chatoa vifaa vinavyohitajiwa na kiwanda kipya. Kwa mfano kiwanda cha kutengeneza mbolea ya mifupa chafaa kujengwa karibu na kiwanda cha kuweka nyama kwenye makopo.

Si jambo jepesi kuamua mahali pafaapo kujengwa viwanda vipya. Katika miaka ya uhuru serikali ya wananchi ilikuwa na haja ya kuisongesha mbele nchi yetu. Ilikuwa hivyo hasa katika mambo ya biashara na uchumi, kwani ili kuneemesha na kusitawisha hali ya maisha ya wananchi kunahitaji fedha. Wingi wa vitu vinavyouzwa na wananchi hufuatana na wingi wa fedha nchini ambazo zinahitajiwa katika kuinua hali za maisha yao. Wingi wa viwanda nchini huleta neema ya kazi kwa wananchi. Usitawi wa biashara hufuatana na mishahara ya nafuu kwa wananchi na neema ya kazi za madaraka kwa vijana wetu.

1   ...   5   6   7   8   9   10   11   12   ...   25


Verilənlər bazası müəlliflik hüququ ilə müdafiə olunur ©atelim.com 2016
rəhbərliyinə müraciət