Kiambatisho B: Maombi ya kugawa Majimbo ya Uchaguzi mwaka 2010
Na.
|
Mkoa
|
Idadi ya maombi yaliyowa-silishwa na Halmashauri
|
Idadi ya Halmashauri zilizoomba kuchunguza/ kugawanya Majimbo
|
Majimbo yaliyoomba kurekebisha mipaka kufuatia kugawanywa Majimbo
|
Idadi ya Majimbo yaliyoomba kubadilisha majina
|
Idadi ya Majimbo mapya yanayoo-mbwa
|
1
|
Ruvuma
|
2
|
2
|
|
|
2
|
2
|
Singida
|
1
|
1
|
|
|
1
|
3
|
Lindi
|
1
|
1
|
|
|
1
|
4
|
Mwanza
|
2
|
2
|
|
|
2
|
5
|
Rukwa
|
6
|
3
|
|
3
|
1
|
6
|
Shinyanga
|
6
|
6
|
|
|
6
|
7
|
Iringa
|
1
|
1
|
|
|
1
|
8
|
Kagera
|
2
|
2
|
|
|
2
|
9
|
Manyara
|
2
|
1
|
1
|
|
1
|
10
|
Mtwara
|
2
|
2
|
|
|
2
|
11
|
Tabora
|
5
|
5
|
|
|
5
|
12
|
Mara
|
1
|
1
|
|
|
1
|
13
|
Dar es Salaam
|
4
|
3
|
1
|
|
4
|
14
|
Arusha
|
1
|
1
|
|
|
1
|
15
|
Morogoro
|
4
|
4
|
|
|
4
|
16
|
Mbeya
|
6
|
6
|
|
|
7
|
17
|
Kigoma
|
4
|
3
|
|
1
|
3
|
18
|
Dodoma
|
3
|
3
|
|
|
3
|
19
|
Kilimajaro
|
|
|
|
|
|
20
|
Tanga
|
|
|
|
|
|
21
|
Pwani
|
|
|
|
|
|
|
|
53
|
47
|
2
|
4
|
47
|
Kiambatanisho B: Asasi za Kiraia Zilizoruhusiwa Kutoa Elimu ya Mpiga
NA.
|
Jina la Asasi
|
Maeneo ya kutoa Elimu ya Uraia au Elimu ya Mpiga Kura
|
1
|
Ngo Network for Dodoma (NGONEDO)
|
Dodoma
|
2
|
Education Development Foundation (EDFO)
|
Mwanza, Kagera na Shinyanga (Lake Zone)
|
3
|
Inades Formation Tanzania
|
Dodoma na Singida
|
4
|
CHAWATA DODOMA
|
Dodoma Mjini
|
5
|
Iringa Development of Youth, Disabled and Children Care (IDYDC)
|
Iringa Mjini, Vijijini, Kilolo, Mufindi
|
6
|
Jikomboe Intergrated Development (JIDA)
|
Tabora, Shinyanga na Singida
|
7
|
AFNET Dodoma
|
Dodoma, Singida, Iringa, Arusha na Manyara
|
8
|
Kisamabantu Arts Promotions
|
Ruvuma, Lindi na Mtwara
|
9
|
TCCIA RUVUMA
|
Wilaya ya Songea
|
10
|
Manyara Region Civil Society Organization Network (MACSNET)
|
Manyara
|
11
|
Ngara Umoja
|
Ngara
|
12
|
Kagera Community Development Fund
|
Muleba
|
13
|
Tanzania Women of Impact Foundation
|
Kata ya Handeni
|
14
|
Diocese of Kigoma – Justice and Peace Commission
|
Kigoma na Kibondo
|
15
|
Community Development and Relief Trust (CODERT)
|
Geita
|
16
|
Mbulu Environmental Society (MBESO)
|
Mbulu
|
17
|
Women’s Savings and Credit in Muleba District (WOSCA)
|
Wilaya ya Muleba
|
18
|
Lawyers Environmental Action Team (LEAT)
|
Kata ya Bukene, Hobo, Ijanija, Nzega.
|
19
|
The Good Samaritan Social Service Tanzania Dsm
|
Maili Moja, Tumbi, Mkuza, Kibaha, Kongowe, Misugusugu, Pangani na Visiga
|
20
|
The Citizen Development Network
|
Mkuranga na Mafinga
|
21
|
Umoja Wa Wanawake wa Kiislam Maswa
|
Maswa
|
22
|
Grace Community Development and Education (GCDE)
| -
Sumbawanga Vijijini-Ilemba, Kilyamatundu, Sndulula, Milepa Kasesha, Matai, Mtowisa, Muze, Mfinga, Miangalua, Laela, Mwimbi na Ulumi.
-
Sumbawanga Mjini – Mandela Stadium na Kisumba.
|
23
|
Dhahabu Arts Group
|
Kinondoni – Ubungo, Bunju, Mbweni, Kunduchi, Sinza and Kawe
|
24
|
Christian Education and Development
|
Kata Za Bukene, Mwangoye, Itobo, Ijinija, Nzega
|
25
|
Universal Federation (UFP)
|
Tanzania Bara tu
|
26
|
Women’s Economic Groups Co-ordinating Council (WEGCC)
|
Arusha, Singida, Shinyanga Na Tabora
|
27
|
Buturi Community Fund Non-Governmental Organization
|
Ilala, Mkuranga na Bagamoyo
|
28
|
Mtwara Action For Self Help Activities (MASHA)
|
Mtwara, Nanyamba na Mtumbuka
|
29
|
OMGP’s Forum
|
Nkasi, Mvomero, Simanjiro, Hanang’, Mbulu, Longido, Meatu na Monduli
|
30
|
Southern Africa Extension Unit
|
Kigoma, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya, Morogoro, Pwani na Tanga
|
31
|
Friends For Social Change
|
Dar es Salaam, Morogoro na Pwani
|
32
|
Tanzania Muslim Proffessionals Association (TAMPRO)
|
Mwanza, Ukerewe, Bunda, Shinyanga na Kahama
|
33
|
Chama Cha Wasioona Tanzania
|
Dar es Salaam, Pwani, Iringa, Tabora, Tanga, Mwanza, Kigoma na Rukwa
|
34
|
The International Good Samaritan Mission (MIBOS)
|
Wilaya ya Kigoma
|
35
|
Tumaini University Iringa College
|
Iringa, Ruvuma, Lindi na Mtwara
|
36
|
Union of Non Governmental Organization Morogoro
|
Morogoro
|
37
|
New Chapter Save The Children Of Mwanza
|
Mwanza
|
39
|
Ilala Mitumba Cooperative Society
|
Dar es Salaam
|
39
|
M M Associate, Advocates
|
Dar es Salaam, Tanga na Lushoto
|
40
|
Konrad Adenauer Stiftung
|
Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara
|
41
|
Tanzania Youth New Fashion
|
Tabora
|
42
|
Women Legal Action
|
Ruvuma
|
43
|
Baraza Kuu La Waislamu Tanzania (BAKWATA) Dar Es Salaam
|
Mkuranga, Rufiji, Kilwa, Pangani, Nachingwea, Tandahimba na Lindi
|
44
|
Music Mayday
|
Dar es Salaam, Morogoro, Arusha, Mwanza na Shinyanga
|
45
|
Rulu Arts Promoters
|
Rufiji, Mafia, Bagamoyo, Mkuranga, Arumeru, Longido
|
46
|
Campaign For Good Governance
|
Bagamoyo, Kibaha, Mkuranga, Kilwa, Songea, Chunya, Sumbawanga, Lushoto, Simanjiro, Sengerema, Magu, Kwimba, Nzega, Dodoma, Kilombero na Mvomero
|
47
|
Youth Partnership Countrywide
|
Mlandizi, Kwala, Ruvu Kongowe, Tumbi, Maili Moja na Pangani.
|
48
|
Tumaini University Dar Es Salaam College
|
Sengerema, Tarime na Karagwe
|
49
|
Kalambo Social Development Foundation (KASODEFO)
|
Sumbawanga Vijijini
|
50
|
Concern For Development Initiative In Africa (FORDIA)
|
Iringa, Mbeya, Kilimanjaro, Mara, Ruvuma na Lindi
|
51
|
TGNP – Tanzania Gender Networking Program
|
Tanzania Bara
|
52
|
United Nations Association Of Tanzania
|
Kagera, Mara, Shinyanga na Mwanza
|
53
|
Wete Invironmental Conservation Club
|
Pemba na Unguja
|
54
|
Woman In Social Enterpreneurship (WISE)
|
Newala, Lindi Vijijini, Temeke, Kinondoni na Kibaha
|
55
|
Hearing Tanzania
|
Pwani na Tanga
|
56
|
Tanganyika Law Society
|
Tanzania Bara
|
57
|
Iritongo Conflicts Resolution and Development Initiative Movement (CORDIM)
|
Bunda, Musoma Vijijini, Rorya, Serengeti na Tarime
|
58
|
Lake Victoria Disability Centre
|
Mkoa wa Manyara
|
59
|
Tanzania League Of The Blind
|
Dar es Salaam, Tabora, Pwani, Kigoma, Singida, Manyara na Tanga
|
60
|
Pamoja Trust
|
Kilimanjaro, Arusha na Manyara
|
61
|
Singida Yetu
|
Singida
|
62
|
Pastoralists Indigenous Non-Government Organization Forum ( PINGOs)
| -
Arusha – Monduli, Longido
-
Manyara – Hanang, Mbulu, Simanjiro
-
Shinyanga – Meatu
-
Rukwa - Mpanda, Nkasi
-
Morogoro – Kilosa, Mvomero
|
63
|
Pemba Investment and Youth Development Organization ( PIYDO)
| -
North Pemba – Wate, Micheweni
-
South Pemba – Chakechake, Mkoani
|
64
|
Organization of Women with Disabilities Zanzibar ( JUWAUZA)
| -
Mjini Magharibi
-
Kusini Unguja (Kaskazini A na Kaskazini B)
-
Kaskazini Unguja (Kaskazini A na Kaskazini B)
|
65
|
White Star Society ( WSS)
| |
Kiambatanisho C: Hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, MHE. JAJI MST. LEWIS M. MAKAME KATIKA HAFLA YA KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAREHE 05 NOVEMBA, 2010
UKUMBI WA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
Waheshimiwa Wagombea Kiti cha Urais na Umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Waheshimiwa Viongozi wa Serikali, Viongozi wa Vyama vya Siasa na Viongozi wa Madhehebu ya Dini;
Waheshimiwa Mabalozi wa Nchi mbalimbali;
Waheshimiwa Wageni waalikwa;
Ndugu Wananchi;
Mabibi na Mabwana.
Kama mnavyofahamu, kwa kuzingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria za Uchaguzi, nchi yetu imefanya Uchaguzi wa Urais, Wabunge na Madiwani tarehe 31 Oktoba, 2010 chini ya usimamizi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, natoa shukrani za dhati kwa Wapiga Kura na Vyama vya Siasa kwa kushiriki katika Uchaguzi huu. Aidha, natoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wadau wa Uchaguzi na Washirika wa Maendeleo ambao kwa namna moja au nyingine wameiwezesha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuendesha na kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura 343 na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Sura 292, Matokeo ya Uchaguzi wa Bunge na Madiwani, nchi nzima yamekwishatangazwa na Wasimamizi wa Uchaguzi wanaohusika isipokuwa kwa Majimbo saba (7) na Kata 23.
Kwa mujibu wa Vifungu vya 35E, 35F(8) na 81B vya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura 343, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, baada ya kujumlisha kura zote za Uchaguzi wa Rais zilizopokelewa kutoka kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo yote 239, inatakiwa kutangaza rasmi Matokeo ya Uchaguzi wa Urais. Kazi hii ndiyo inayotujumuisha leo katika Ukumbi huu.
Waheshimiwa Wagombea wa Kiti cha Urais, Waheshimiwa Viongozi, Waheshimiwa Mabalozi, Wageni waalikwa na Ndugu wananchi, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Vyama vya Siasa saba (7) vilisimamisha Wagombea wa Kiti cha Urais na Umakamu wa Rais. Vyama hivyo kialfabeti pamoja na Wagombea wake ni kama ifuatavyo:-
NA.
|
CHAMA
|
MGOMBEA URAIS
|
MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS
|
1
|
APPT-MAENDELEO
|
Mhe. Mziray Kuga Peter
|
Mchenga Rashid Yusuph
|
2
|
CCM
|
Mhe. Kikwete Jakaya Mrisho
|
Bilal Mohammed Gharib
|
3
|
CHADEMA
|
Mhe. Slaa Willibrod Peter
|
Said Mzee Said
|
4
|
CUF
|
Mhe. Lipumba Ibrahim Haruna
|
Duni Juma Haji
|
5
|
NCCR - MAGEUZI
|
Mhe. Rungwe Hashim Spunda
|
Ali Omar Juma
|
6
|
TLP
|
Mhe. Mgaywa Muttamwega Bhatt
|
Mgaza Abdallah Othman
|
7
|
UPDP
|
Mhe.Dovutwa Yahmi Nassoro Dovutwa
|
Hamad Mohammed Ibrahim
|
Yafuatayo ndiyo Matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 31 Oktoba, 2010:-
-
Idadi ya Wapiga Kura waliojiandikisha ni 20,137,303.
-
Idadi ya waliopiga kura 8,626,283 ambao ni sawa na asilimia 42.84(%) ya Wapiga Kura wote waliojiandikisha.
-
Idadi ya Kura zilizoharibika ni 227,889 ambazo ni sawa na asilimia 2.64(%) ya Kura zote zilizopigwa.
-
Idadi ya Kura halali ni 8,398,394 ambazo ni sawa na asilimia 97.36(%) ya Kura zote zilizopigwa.
-
Idadi ya Kura halali alizopata kila Mgombea ni kama ifuatavyo:-
(i) Mhe. Mziray Kuga Peter wa Chama cha African Progressive Party of Tanzania (APPT-Maendeleo) amepata Kura 96,933 ambazo ni sawa na asilimia 1.12(%) ya Kura zote halali;
(ii) Mhe. Kikwete Jakaya Mrisho wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amepata Kura 5,276,827ambazo ni sawa na asilimia 61.17(%) ya Kura zote halali;
(iii) Mhe. Slaa Willibrod Peter wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amepata Kura 2,271,941 ambazo ni sawa na asilimia 26.34(%) ya Kura zote halali;
(iv) Mhe. Lipumba, Ibrahim Haruna wa Chama cha ‘The Civic United Front’ (CUF) amepata Kura 695,667 ambazo ni sawa na asilimia 8.06(%) ya Kura zote halali;
(v) Mhe. Rungwe Hashim Spunda wa Chama cha ‘National Convention for Construction and Reform’ (NCCR – MAGEUZI) amepata Kura 26,388 ambazo ni sawa na asilimia 0.31(%) ya Kura zote halali;
(vi) Mhe. Mgaywa Muttamwega Bhatt wa ‘Tanzania Labour Party’ (TLP) amepata Kura 17,482 ambazo ni sawa na asilimia 0.20(%) ya Kura zote halali;
(vii) Mhe. Dovutwa Yahmi Nassoro Dovutwa wa Chama cha ‘United Peoples Democratic Party’ (UPDP) amepata Kura13,176 ambazo ni sawa na asilimia 0.15(%) ya Kura zote halali.
Kwa mujibu wa Ibara ya 41(6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 Mgombea wa Kiti cha Urais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko Mgombea mwingine yeyote. Aidha, kwa mujibu wa Ibara ya 47(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 Mgombea wa Kiti cha Urais akichaguliwa basi na Mgombea Mwenza wake atakuwa amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais.
Kwa kuwa Mheshimiwa JAKAYA MRISHO KIKWETE wa CCM amepata kura nyingi zaidi kuliko Mgombea mwingine yeyote, kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kwa mujibu wa Vifungu vya 35E, 35F(8) na 81B vya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura 343, ninatangaza rasmi Matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa 2010 kwamba:-
-
Mheshimiwa KIKWETE JAKAYA MRISHO amechaguliwa kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
|