Ana səhifə

Taarifa ya tume ya taifa ya uchaguzi kuhusu uchaguzi wa rais, wabunge na


Yüklə 4.81 Mb.
səhifə28/33
tarix26.06.2016
ölçüsü4.81 Mb.
1   ...   25   26   27   28   29   30   31   32   33

na

  1. Mheshimiwa BILAL MOHAMMED GHARIB amechaguliwa kuwa MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

ASANTENI KWA KUNISIKILIZA.


(Mst. Jaji Lewis M. Makame)



MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

05 Novemba, 2010


Kiambatanisho D: Asasi za Kiraia Zilizoruhusiwa kuwa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Mkuu, 2010


Na.

Jina la Asasi

Mahali Asasi inapofanyia shughuli

Shughuli zinazofanywa na Asasi husika

Sehemu itakapotazama Uchaguzi

1

Kituo cha haki za Binadamu (LHRC)

Dar es Salaam na Arusha

Malengo ya Taasisi ni kujenga uelewa wa haki za binadamu na uwezeshwaji katika uma kwa ujumla na mamlaka / mbalimbali na kwa namna ya kipekee maeneo yaliyotengwa kijamii kwa njia kutoa Elimu ya Mpiga Kura na uraia, msaada wa kisheria kufanya tafiti na ufuatiliaji wa ukiukwaji wa haki za binadamu.

Mikoa yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2

Bantu Union

Arusha Mjini.

Kuelimisha utamaduni wa dini za asili za Afrika, mila, jadi , na desturi kibiblia.

Majimbo yote ya Uchaguzi

3

Multiple Development Foundation

Dar es Salaam

Kuwezesha jamii kudai kupata haki zao za kidemokrasia, kupiga vita umaskini na rushwa.

Temeke (Temeke na Kigamboni)

4

SINANGOA Disabled

Dar es Salaam

Hujishughulisha na watu wenye ulemavu wa aina zote, kilimo cha mboga mboga, utengenezaji wa saa za viongozi za ukutani na ufumaji wa mashuka kwa mkono.

Pwani, Tanga na Morogoro


5

Orphans Welfare & Capacity Building organization

(OWCBO)


Dar es Salaam

Kuimarisha hali ya maisha ya watoto yatima, walezi wao na jamii kwa ujumla kwa kutumia sheria na taratibu chini ya sheria za nchi.

Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni

6

Mtandao wa Maendeleo ya Jamii

Dar es Salaam

Kuimarisha utetezi wa jamii, kupiga vita umasikini na kutoa elimu ya demokrasia.

Mkoa wa Pwani, Wilaya za Mkuranga na Mafia.

7

Tanzania Volunteers for Development Trust (TAVODET)

Dar es Salaam

Kupigania maendeleo ya jamii na usawa, vilevile kupambana na umasikini na haki za binadamu.

Arusha


8

Royal College of Tanzania (RCT)

Dar es Salaam

Mafunzo katika fani ya uandishi wa habari na utangazaji na vile vile fani nyingine za kitaaluma.

Mbeya

9

Dhahabu Arts Group (DAG)

Dar es Salaam

Kuleta maendeleo ya jamii hasa katika demokrasia na utawala bora kwa kutumia wanachama wake wenye ujuzi na wataalamu mbalimbali.

Manyara

10

Young People Empowerment in Tanzania

Dar es Salaam

Kuwaongezea vijana uwezo na maarifa ya uongozi walio ndani na nje ya shule.

Dar es Salaam Wilaya ya Kinondoni

11

Jumuiya ya Orphans Education Centre

( ORECE)


Mkoa wa Iringa, Wilaya ya Njombe

Elimu ya utawala bora, uleaji wa watoto yatima, utetezi wa haki za binadamu.

Jimbo la Njombe Kaskazini

12

Women- Widow, Children and Fisheries Develompment Association

(WICHIDA)



Dar es Salaam

Wajane na yatima ambao hawana ajira. Pia wanatoa elimu na mafunzo ya utawala bora na haki za wanawake na watoto

Wilaya ya Bagamoyo

13

TUSHIRIKI

Mbeya

Masuala ya utawala bora na demokrasia, ufuatiliaji wa pesa za uma (PETs), haki za binadamu, kupambana na umasikini, ujinga na maradhi sugu.

Mbeya, Wilaya ya Mbeya Mjini na Rungwe

14

Lagarawa Development Foundation

Iringa, Wilaya ya Njombe

Elimu na afya, kusaidia yatima na wajane, kuelimisha jamii juu ya utunzaji wa mazingara na ufugaji wa nyuki.

Iringa ( Wilaya ya Ludewa)

15

Foster Rural Association

Iringa, Wilaya ya Njombe

Elimu kwa wanawake juu ya Upigaji Kura, kuelimisha jamii kupambana na ugonjwa hatari wa UKIMWI.

Iringa ( Wilaya ya Njombe, Jimbo la Njombe Kusini)

16

Tegeta Environment Development Organization

Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni

Masuala ya mazingira na uelimishaji katika nyanja za upandaji miti na usafishaji

Morogoro

17

TAIBAH

Dar es Salaam

Mafunzo ya UKIMWI na huduma ya afya ya uzazi kwa vijana pamoja na kuchimba visima katika maeneo mbalimbali katika nchi yetu na kusafirisha mahujaji.

Kigoma, Mwanza, Dodoma, Singida, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Manyara na Kagera.

18

Dar es Salaam City Press Club

Dar es Salaam

Kuboresha viwango vya uandishi wa habari na ubora wa taarifa zao kwenda kwa jamii.

Dar es Salaam

19

Human Rights National Association of Educators for World Peace

Mbeya

Masuala ya haki za binadamu, kutoa ushauri pale inapoonekana haki zimekiukwa, kuelezea jamii umuhimu wa kuzilinda na kuziheshimu sheria zote za nchi kuhusu haki za binadamu na kupambana na vitendo viovu vya rushwa.

Mbeya, Rukwa, Morogoro, Arusha, Kigoma na Pwani

20

Taasisi ya Kuzuia Mmomonyoko wa Maadili Tanzania

Pwani, Wilaya ya Mkuranga

Kutetea na kuelimisha watanzania juu ya athari za mmomonyoko wa maadili katika jamii.

Pwani, Dar es Salaam, Mara, Lindi, Mwanza, Arusha, Tabora, Kilimanjaro, Dodoma, Tanga na Kagera.


21

Community Based Rehabilitation Agency

( COMBRA)



Pugu, Dar es Salaam

Utekelezaji wa miradi na huduma za utetezi, uwasilishaji na utekelezaji wa sera mbalimbali ndani ya nchi.

Kata ya Pugu, Dar es Salaam

22

Pugu Poverty Alleviation and Development Agency

Pugu, Dar es Salaam

Kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yatima na wajane, biashara ndogo ndogo kwa wajane na vijana, kutoa elimu ya uraia na haki za binadamu, utunzaji wa mazingira n.k.

Dar es Salaam, (Wilaya ya Ilala Kata za Msongola, Chanika na Majohe).

23

Pamoja Daima

Pwani, Kisarawe

Kutoa huduma ya elimu katika kilimo, mazingira, utamaduni, sanaa, utawala bora, uraia na haki za binadamu.

Pwani (Kata za Kisarawe, Msimbu na Masaki).


24

Tanzania Episcopal Conference

( Catholic Secretariat)



Dar es Salaam

Kuelimisha Wapiga Kura kushiriki katika mchakato wa uchaguzi na kuzingatia sheria na kanuni za Uchaguzi, kutoa fursa ya kongamano za kidini kwa viongozi wa kikristu na kiisilamu Tanzania Bara na Visiwani.

Tanzania Bara (Temeke, Kinondoni, Ilala, Kigoma Mjini, Karatu, Tanga Mjini, Moshi Mjini, Arusha Mjini na Dodoma Mjini)

25

RUSHDIDDN ISLAMIC CENTRE

Dar es Salaam, Manzese

Maendeleo kwa jamii hasa kwa vijana wa Kiisilamu, sanaa, michezo, utamaduni na burudani zinazokubalika na dini ya kiisilamu.

Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni.

26

Former District Commissioner’s Forum

Dar es Salaam, Kinondoni

Kuelimisha na kuhamasisha jamii kutambua haki zao za kiraia na maendeleo ya jamii.

Dar es Salaam, Arusha, Singida, Kilimanjaro,Morogoro, Pwani, Shinyanga, Mwanza, Kagera, Mara, Rukwa, Tabora, Tanga, Lindi, Manyara na Dodoma.

27

Christian Council of Tanzania (CCT)

Dodoma

Mahusiano na imani mbalimbali maendeleo ya wanawake jinsia na watoto.

Kigoma, Mara, Dar es Salaam, Tanga, Kilimanjaro, Kagera, Morogoro, Mbeya, Pwani na Zanzibar.

28

Ukombozi Community Group Mahembe

Kigoma

Utawala bora na uwajibikaji wa jamii, mapambano dhidi ya rushwa ikiwa ni pamoja na elimu kwa jamii juu ya madhara ya rushwa.

Kigoma (Wilaya ya Kigoma) na Tabora (Wilaya ya Igunga).

29

TUNZA Mazingira Malya Group

Mwanza, Kwimba

Kuhamasisha jamii kuungana pamoja na kikundi kushiriki katika utunzaji wa mazingira katika Wilaya ya Kwimba.

Mwanza, Wilaya ya Kwimba

30

Kigoma Vijana Development Association

Kigoma

Kutoa elimu juu ya haki za vijana kupitia sera ya taifa ya vijana, kutoa elimu ya awali kwa watoto yatima.

Kigoma Mjini na Kigoma Vijijini.

31

Songambele Development Society

Kigoma

Shughuli mbalimbali za kijamii na kupambana na umaskini mkoani Kigoma.

Kigoma, Tabora, Mwanza, Kagera na Dodoma



32

Arusha Non-Governmental Organization Network

Arusha

Kuzijengea uwezo AZAKI/AZISE ili zishirki kikamilifu katika shughuli za maendeleo ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa.

Arusha

33

Tanzania Election Monitoring Committee (TEMCO)

Dar es Salaam

Kutazama hatua zote za Uchaguzi pamoja na mpangilio wa Majimbo, uandikishwaji wa Wapiga Kura, uteuzi wa Wagombea, Kampeni, Kupiga Kura, kuhesabu na kujumlisha Kura pamoja na matokeo ya mwisho ya Uchaguzi.

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

34

MSETI DEVELOPMENT FOUNDATION

Iringa, Wilaya ya Njombe

Kuwajengea uwezo wa ufahamu jamii ya Njombe juu ya Utawala bora.

Njombe Jimbo la Njombe Kaskazini

35

TAASISI YA LUFINGO WAVIU

Mbeya, Rungwe

Kutoa elimu kwa jamii juu ya VVU/ UKIMWI ili namba ya watu wanaoishi na VVU isiongezeke bali izidi kupungua.

Rungwe

36

Retired Military Experts Association

Dar es Salaam, Kinondoni

Kuratibu na kuwasemea wanajeshi wastaafu wote, kuwapatia ajira wastaafu ndani na nje ya nchi, kuanzisha makampuni ya ulinzi kwa ajili ya wanachama na jamii kwa ujumla.

Arusha, Iringa, Mwanza, Mara, Mbeya, Manyara, Mtwara, Lindi, Ruvuma, Shinyanga, Kigoma, Morogoro,Dodoma, Kilimanjaro, Singida, Rukwa, Tabora Kagera na Tanga

37

TWITANGAGE COMMUNITY DEVELOPMENT FOUNDATION

Iringa, Njombe

Kuihamasisha Serikali kuongeza jitihada katika kupambana na janga la ukimwi na kuwezesha upatikanaji wa huduma za jamii kama Elimu, Afya, Maji na Michezo.

Iringa, Njombe

38

YOUTH ENVIRONMENTAL RESCUE ORGANISATION TANZANIA

Dar es Salaam

Elimu ya Utawala Bora na kampeni dhidi ya magonjwa ya Ukimwi na Malaria.

Mkuranga katika Mkoa wa Pwani


49

YOUTH AGAINST AIDS AND POVERTY ASSOCIATION

Kigoma

Kupambana na maambukizi ya VVU kwa vijana na malezi kwa watoto yatima.

Kata ya Sigunga katika Wilaya ya Kigoma Mjini



40

Peoples’ Organisation Transparency Agency

Dar es Salaam na Kagera

Kuzuia rushwa na kutetea haki za binadamu.

Kagera na Dar es Salaam


41

MOROGORO PRESS CLUB

Morogoro

Kuwaunganisha wanahabari wote wa Mkoa wa Morogoro na pia kuwa kisemeo cha wasio na sauti hasa wananchi wa vijijini.

Mkoa wa Morogoro

42

MTANDAO WA HAKI ZA MTOTO.

Morogoro, Wilaya ya Kilombero

Kufanya utafii, kutoa ushauri, uhamasishaji, mafunzo kuhusu haki za binadamu, utawala bora, kuwajibika, haki za raia na kuelimisha jamii juu ya athari za rushwa kwa jamii.

Kilombero

43

HEDO

Tanga na Arusha

Kutoa elimu kuhusu UKIMWI, haki za watoto, kutoa misaada kwa watoto waishio katika mazingira magumu, yatima, wajane, wazee na waishio na virus vya UKIMWI.

Arusha na Tanga

44

Free Ambassador Women and Children Mission

Kilimanjaro, Moshi

Kutoa ushauri, elimu ya kujitegemea na elimu ya afya ya jamii hasa wamama, watoto na wasiojiweza.

Arusha, Tanga, Pwani, Dar es Salaam, Morogoro, Kilimanjaro na Manyara

45

KAENGESA Environmental Conservation Society

Rukwa, Wilaya ya Sumbawanga

Uhifadhi wa mazingira na utetezi kwa wanawake kupata haki ya kumiliki ardhi

Wilaya ya Sumbawanga

46

TAIBAH-HAJI, UMRA AND SOCIAL SERVICES TRUST

Dar es Salaam

Kutoa huduma bora hususan za maendeleo ya jamii ya watanzania, kama afya na mazingira.

Mwanza, Kigoma, Dodoma, Singida, Lindi, Mtwara, Manyara na Kagera.

47

Nanyumbu Development Foundation

Nanyumbu

Kutoa elimu juu ya utetezi na ushawishi wa sera na sheria

Wilaya ya Nanyumbu


48

Saidia Yatima Group

Mji wa Njombe

Utetezi wa haki za watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi

Wilaya ya Njombe

49

Mavanga Kapilikoho Development Association

Wilaya ya Ludewa

Kuihamasisha Serikali kuongeza jitihada katika kupambana na janga la UKIMWI na kuwezesha upatikanaji wa huduma za jamii kama elimu, afya na michezo.

Wilaya ya Ludewa

50

Ludende Development Association

Wilaya ya Ludewa

Kuelimisha jamii juu ya haki ya mwanamke kumiliki mali na ardhi

Wilaya ya Ludewa

51

ADAG ART PROMOTION

Wilaya ya Ilala

Kudumisha, kuendeleza sanaa na utamaduni wa mtanzania

Wilaya ya Mkuranga.

52

Makete Youth Development Network

Wilaya ya Makete

Kutoa elimu ya uraia kwa wanajamii wa Wilaya ya makete

Wilaya ya Maketi

53

Ihagala Development Organization

Wilaya ya Njombe

Kuihamasisha serikali kuongeza jitihada katika kupambana na janga la UKIMWI na kuwezesha upatikanaji wa huduma za jamaii kama elimu, afya na michezo

Wilaya ya Njombe

54

International Christian Ministries

Dar es Salaam

Elimu ya watu wazima, kujenga shule za msingi na kuzikarabati na kutoa misaada ya kuchimba visima vya maji

Wilaya ya Tarime

55

Shirika la Wanawake

Wilaya ya Njombe

Kutoa elimu ya ushonaji vikapu na mapambo mbalimbali

Wilaya ya Njombe

56

Dalal Islamic Center

Wilaya ya Dodoma

Kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu kupata elimu na mahitaji muhimu.

Wilaya ya Kondoa

57

Chama cha Kupambana na UKIMWI

Wilaya ya Njombe

Kuwajengea wanajamii wa Njombe uwezo wa ufahamu juu ya elimu ya utawala bora na uraia

Wilaya ya Njombe, Jimbo la Njombe Magharibi

58

Education Development Foundation

Mwanza

Inawajengea wananchi uwezo katika sekta ya elimu ya haki za binadamu, malezi ya awali ya watoto wadogo, utawala na uwajibikaji

Mwanza, Shinyanga, Mara na Kagera.

59

Chama cha Wanasheria Cha Tanganyika ( TLS)

Dar es Salaam

Shughuli za chama zinahusha kushiriki programu za mabadiliko yanayoasisiwa na serikali kama vile programu ya marekebisho ya mfumo wa sheria ( Legal Sector Reform Program) na programu ya kuimarisha mazingira ya biashara Tanzania ( Business Environment Strengthern for Tanzania )

Dar es Salaam, Tabora, Mbeya, Dodoma, Kilimanjaro, Mtwara na Mara.

60

Guluka Kwalala Youth

Dar es Salaam, Ilala

Mafunzo ya kuimarisha uwajibikaji na utawala bora katika ngazi zote na uwazi zaidi katika mfumo wa utoaji huduma za kijamii na kiuchumi.

Pwani, Kisarawe na Mkuranga

61

Tanzania Women for Self Initiative

Dar es Salaam

Kufanya miradi mbalimbali ya kuleta maendeleo ya jamii hasa katika demokrasia na utawala bora.

Tabora

62

Kiota Women’s Health and Development Organization

( KIWOHEDE)



Dar es Salaam

Kutetea na kulinda haki, afya na maendeleo kwa watoto na wanawake

Ilala, Temeke, Kinondoni, Iringa Vijijinim Kilolo, Iringa Mjini, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini, Songea, Arusha, Iramba na Kondoa.

63

The Eden Foundation Tanzania

Karagwe

Kuendeleza demokrasia na utawala bora, kulinda na kutetea haki za binadamu, utunzaji wa mazingira kijamii, kupiga vita UKIMWI na rushwa

Chato, Ngara na Karagwe


1   ...   25   26   27   28   29   30   31   32   33


Verilənlər bazası müəlliflik hüququ ilə müdafiə olunur ©atelim.com 2016
rəhbərliyinə müraciət