Kiambatanisho E: Risala ya Mwenyekiti Kuhusu Siku ya Upigaji Kura
RISALA YA MWENYEKITI KUHUSU UPIGAJI KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU
JUMAPILI, TAREHE 31 OKTOBA, 2010
Zoezi la Uchaguzi Mkuu linafikia kilele chake, siku ya Jumapili, tarehe 31 Oktoba, 2010.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatoa wito kwa Wananchi waliojiandikisha Kupiga Kura kote Nchini kujitokeza kwa wingi na kwenda kwenye vituo vilivyopangwa kwa ajili ya Kupiga Kura ili wapige Kura zao na hivyo kutekeleza haki yao ya Kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka kuwa Kiongozi wao.
Aidha, Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuwakumbusha na kuwasisitizia Wapiga Kura wote mambo yafuatayo:
-
(i) Kituo kitafunguliwa saa 1.00 Asubuhi hadi saa 10.00 jioni. Hata hivyo yeyote atakayekuwepo wakati wa kufunga kituo saa 10.00 ataruhusiwa Kupiga Kura.
-
Mpiga Kura akumbuke kubeba Kadi yake ya kupigia Kura. Bila Kadi ya Kupiga Kura hataruhusiwa Kupiga Kura.
-
Akifika kituoni atapokelewa na Karani Mwongozaji ambaye atamsadidia kutafuta jina lake na kumwelekeza Kituo cha Kupiga Kura iwapo eneo hilo lina zaidi ya Kituo kimoja.
-
Atakapofika kwenye Kituo atawajibika kujipanga kwenye mstari. Hata hivyo wagonjwa, wanaoishi na ulemavu wa aina mbalimbali, wanawake wajawazito na wanaonyonyesha na wazee hawatatakiwa kujipanga kwenye mstari.
-
Wakati wote wa Upigaji na Uhesabuji Kura, Mawakala wa Vyama vya Siasa wawepo kwenye Vituo. Wajibu wao ni kulinda maslahi ya Vyama vyao na Wagombea. Hata hivyo hawatakiwi kuingilia masuala ya utendaji ambayo yamekabidhiwa Msimamizi wa Kituo. Iwapo wataona hitilafu yoyote na kushindwa kupata maelekezo ya kutosha kutoka kwa Msimamizi wa Kituo wataomba fomu maalum iliyotolewa na Tume kueleza malalamiko yao.
-
Kura zitahesabiwa katika kituo cha Kupigia Kura mara tu upigaji Kura utakapomalizika.
-
Baada ya Kura kuhesabiwa, matokeo yatajazwa kwenye Fomu maalum ambazo zitatiwa saini na Msimamizi wa Kituo na Mawakala. Kila Wakala atapewa nakala ya Fomu ya Matokeo na nakala nyingine itawekwa mahali pa wazi nje ya Kituo.
-
Msimamizi wa Kituo atapeleka fomu ya matokeo na vifaa vingine vilivyotumika kwenye zoezi la Upigaji Kura kwa Msimamizi wa Uchaguzi Mawakala wa Vyama wataruhusiwa kusindikiza msafara wa kupelekea matokeo hayo kwenda kwa Msimamizi wa Uchaguzi/Msimamizi Msaidizi.
-
Matokeo yote yakishapokelewa na Msimamizi wa Uchaguzi, kwa upande wa Uchaguzi wa Rais na Wabunge au na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kwa upande wa Uchaguzi wa Udiwani hujumlishwa mbele ya Mawakala na wote wanaoruhusiwa kuingia kwenye Vituo vya kujumlishia Kura.
-
Kama ilivyokuwa wakati wa kuhesabu Kura, baada ya ujumlishaji kukamilika, yatatiwa saini na Msimamizi wa Uchaguzi na Mawakala watakaokuwepo. Mawakala watapewa Nakala ya Matokeo na Nakala moja itawekwa mahali pa wazi nje ya Kituo cha ujumlishaji.
-
Matokeo ya Uchaguzi wa Bunge yatatangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi wakati yale ya Uchaguzi wa Diwani yatatangazwa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata. Matokeo ya Uchaguzi wa Rais yatatumwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo nayo itayahakiki na kuyatangaza kama inavyoyapokea. Baada ya kupokea matokeo yote Tume itakaa pamoja na Mawakala na kuyajumlisha na hatimaye kutangaza Mshindi.
-
Tume inapenda kusisitiza mambo muhimu yafuatayo:
-
Vyama vyote vya Siasa vinavyoshiriki katika Uchaguzi Mkuu vinatakiwa kuhakikisha kwamba vinaweka Mawakala wake kwa Vituo vyote vya Kupigia Kura na kujumlisha Kura.
-
Mawakala wa Vyama vya Siasa watatakiwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu zilizowekwa.
-
Mara baada ya Kupiga Kura na kwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi Wapiga Kura wanatakiwa kuondoka vituoni na kurejea nyumbani. Kwa kuwa Vyama vya Siasa vitakuwa vimeweka Mawakala wake ambao watalinda maslahi ya Vyama husika na Wagombea wao.
-
Mpiga Kura atapiga Kura kwenye Kituo chake alichojiandikisha au alichopangiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
-
Watu waliotajwa kwenye Sheria ndiyo pekee wanaoruhusiwa kuingia kwenye Vituo vya Kupigia Kura au Vituo vya kuhesabia Kura.
-
Wapiga Kura wanaoishi na Ulemavu wa kutoona lakini wana Elimu ya Braille watapewa fursa ya kutumia kifaa cha “Tractile Ballot Folder” wale ambao hawawezi kukitumia kifaa hicho wataruhusiwa kuja kituoni na watu wanayemchagua wenyewe. Mtu mmoja anaweza kumsaidia mpiga Kura mmoja tu labda kama wapo Wapiga Kura zaidi ya mmoja kutoka katika familia moja.
-
Inakatazwa kuvaa Sare za Chama kwenye Vituo au kuendesha Kampeni yoyote siku ya Uchaguzi.
-
Tume itahakikisha kuwa hakuna Mpiga Kura atakayepiga Kura zaidi ya mara moja.
-
Tume inapenda kusahihisha taarifa potofu zinazotolewa na baadhi ya Wadau wa Uchaguzi kwamba, Mpiga Kura ambaye yuko mbali na Kituo alichojiandikisha anaweza Kupiga Kura ya Uchaguzi wa Rais. Hii siyo kweli kwani ili mtu aweze Kupiga Kura ni lazima awemo kwenye Daftari la Wapiga Kura la Kituo husika. Hii ni kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi ambapo hata Tume haiwezi kutoa msimamo mwingine kinyume na Sheria.
-
Wapiga Kura ambao watakuwa na Kadi zao za Kupigia Kura ila namba za Kadi hizo zikawa zinatofautiana na Namba yake katika Daftari wataruhusiwa Kupiga Kura.
-
Aidha Wapiga Kura ambao taarifa zao zilizoko kwenye Daftari ni sawa na zile zilizopo kwenye Kadi zao ila tu kwamba picha zao hazipo kwenye Daftari nao vile vile wataruhusiwa Kupiga Kura.
-
Upigaji Kura ni wa siri, hivyo kila mtu apige Kura yake kwa siri na mtu asishawishiwe na mtu yeyote kueleza nani amempigia Kura. KURA YAKO NI SIRI YAKO.
-
Ni marufuku na ni kosa la Jinai kumkataza mtu kwenda Kupiga Kura.
-
Tume ya Taifa pekee ndiyo yenye Mamlaka ya kutangaza Mshindi katika Uchaguzi wa Rais na kwa upande wa Uchaguzi wa Wabunge mwenye Mamlaka ya kutangaza Mshindi ni Msimamizi wa Uchaguzi. Kwa upande wa Uchaguzi wa Madiwani mwenye mamlaka ya kufanya hivyo ni Msimamizi Msaidizi wa Kata.
-
Tume inapenda kuwahakikishai Wananchi kwamba kutakuwa na Ulinzi wa kutosha katika Vituo vya Kupigia Kura.
Kwa kumalizia, Tume inawasihi tena Wapiga Kura wote nchini kujitokeza kwa wingi Kupiga Kura ili kuwachagua Viongozi wao. KUMBUKA KUPIGA KURA NI HAKI YAKO YA MSINGI.
(Mst. Jaji Lewis M. Makame)
Mwenyekiti
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
Kiambatanisho F: Orodha ya Majimbo ya Uchaguzi Mkuu, 2010
TANZANIA BARA
NA.
|
MKOA
|
HALMASHAURI YA
|
NA.
|
NA. YA JIMBO
|
JIMBO
|
1
|
ARUSHA
|
JIJI LA ARUSHA
|
1
|
20301
|
ARUSHA MJINI
|
WILAYA YA ARUSHA
|
2
|
20201
|
ARUMERU MAGHARIBI
|
WILAYA YA KARATU
|
3
|
20401
|
KARATU
|
WILAYA YA LONGIDO
|
4
|
20102
|
LONGIDO
|
WILAYA YA MERU
|
5
|
20601
|
ARUMERU MASHARIKI
|
WILAYA YA MONDULI
|
6
|
20101
|
MONDULI
|
WILAYA YA NGORONGORO
|
7
|
20501
|
NGORONGORO
|
2
|
DAR ES SALAAM
|
MANISPAA YA ILALA
|
8
|
70201
|
ILALA
|
9
|
70203
|
SEGEREA
|
10
|
70202
|
UKONGA
|
MANISPAA YA KINONDONI
|
11
|
70101
|
KAWE
|
12
|
70102
|
KINONDONI
|
|
13
|
70103
|
UBUNGO
|
MANISPAA YA TEMEKE
|
14
|
70301
|
KIGAMBONI
|
15
|
70302
|
TEMEKE
|
3
|
DODOMA
|
MANISPAA YA DODOMA
|
16
|
10501
|
DODOMA MJINI
|
WILAYA YA BAHI
|
17
|
10401
|
BAHI
|
WILAYA YA CHAMWINO
|
18
|
10402
|
CHILONWA
|
19
|
10403
|
MTERA
|
WILAYA YA KONDOA
|
20
|
10101
|
KONDOA KASKAZINI
|
21
|
10102
|
KONDOA KUSINI
|
WILAYA YA KONGWA
|
22
|
10301
|
KONGWA
|
WILAYA YA MPWAPWA
|
23
|
10202
|
KIBAKWE
|
24
|
10201
|
MPWAPWA
|
4
|
IRINGA
|
MANISPAA YA IRINGA
|
25
|
110601
|
IRINGA MJINI
|
MJI WA NJOMBE
|
26
|
110402
|
NJOMBE KUSINI
|
WILAYA YA IRINGA
|
27
|
110103
|
ISMANI
|
28
|
110101
|
KALENGA
|
WILAYA YA KILOLO
|
29
|
110102
|
KILOLO
|
WILAYA YA LUDEWA
|
30
|
110501
|
LUDEWA
|
WILAYA YA MAKETE
|
31
|
110301
|
MAKETE
|
WILAYA YA MUFINDI
|
32
|
110201
|
MUFINDI KASKAZINI
|
33
|
110202
|
MUFINDI KUSINI
|
WILAYA YA NJOMBE
|
34
|
110401
|
NJOMBE KASKAZINI
|
35
|
110403
|
NJOMBE MAGHARIBI
|
5
|
KAGERA
|
MANISPAA YA BUKOBA
|
36
|
180601
|
BUKOBA MJINI
|
WILAYA YA BIHARAMULO
|
37
|
180401
|
BIHARAMULO MAGHARIBI
|
WILAYA YA BUKOBA
|
38
|
180201
|
BUKOBA VIJIJINI
|
WILAYA YA CHATO
|
39
|
180402
|
CHATO
|
WILAYA YA KARAGWE
|
40
|
180101
|
KARAGWE
|
41
|
180102
|
KYERWA
|
WILAYA YA MISSENYI
|
42
|
180202
|
NKENGE
|
WILAYA YA MULEBA
|
43
|
180301
|
MULEBA KASKAZINI
|
44
|
180302
|
MULEBA KUSINI
|
WILAYA YA NGARA
|
45
|
180501
|
NGARA
|
6
|
KIGOMA
|
MANISPAA YA KIGOMA/UJIJI
|
46
|
160401
|
KIGOMA MJINI
|
WILAYA YA KASULU
|
47
|
160203
|
KASULU MJINI
|
48
|
160201
|
KASULU VIJIJINI
|
49
|
160202
|
MANYOVU
|
WILAYA YA KIBONDO
|
50
|
160102
|
BUYUNGU
|
51
|
160101
|
MUHAMBWE
|
WILAYA YA KIGOMA
|
52
|
160301
|
KIGOMA KASKAZINI
|
WILAYA YA KIGOMA
|
53
|
160302
|
KIGOMA KUSINI
|
7
|
KILIMANJARO
|
MANISPAA YA MOSHI
|
54
|
30601
|
MOSHI MJINI
|
WILAYA YA HAI
|
55
|
30501
|
HAI
|
WILAYA YA MOSHI
|
56
|
30401
|
MOSHI VIJIJINI
|
57
|
30402
|
VUNJO
|
WILAYA YA MWANGA
|
58
|
30201
|
MWANGA
|
WILAYA YA ROMBO
|
59
|
30101
|
ROMBO
|
WILAYA YA SAME
|
60
|
30301
|
SAME MAGHARIBI
|
61
|
30302
|
SAME MASHARIKI
|
WILAYA YA SIHA
|
62
|
30502
|
SIHA
|
8
|
LINDI
|
MJI WA LINDI
|
63
|
80601
|
LINDI MJINI
|
WILAYA YA KILWA
|
64
|
80101
|
KILWA KASKAZINI
|
65
|
80102
|
KILWA KUSINI
|
WILAYA YA LINDI
|
66
|
80201
|
MCHINGA
|
67
|
80202
|
MTAMA
|
WILAYA YA LIWALE
|
68
|
80401
|
LIWALE
|
WILAYA YA NACHINGWEA
|
69
|
80301
|
NACHINGWEA
|
WILAYA YA RUANGWA
|
70
|
80501
|
RUANGWA
|
9
|
MANYARA
|
MJI WA BABATI
|
71
|
210101
|
BABATI MJINI
|
WILAYA YA BABATI
|
72
|
210102
|
BABATI VIJIJINI
|
WILAYA YA HANANG
|
73
|
210201
|
HANANG
|
WILAYA YA KITETO
|
74
|
210501
|
KITETO
|
WILAYA YA MBULU
|
75
|
210301
|
MBULU
|
WILAYA YA SIMANJIRO
|
76
|
210401
|
SIMANJIRO
|
10
|
MARA
|
MANISPAA YA MUSOMA
|
77
|
200501
|
MUSOMA MJINI
|
WILAYA YA BUNDA
|
78
|
200401
|
BUNDA
|
79
|
200402
|
MWIBARA
|
WILAYA YA MUSOMA
|
80
|
200301
|
MUSOMA VIJIJINI
|
WILAYA YA RORYA
|
81
|
200101
|
RORYA
|
WILAYA YA SERENGETI
|
82
|
200201
|
SERENGETI
|
WILAYA YA TARIME
|
83
|
200102
|
TARIME
|
11
|
MBEYA
|
JIJI LA MBEYA
|
84
|
120801
|
MBEYA MJINI
|
WILAYA YA CHUNYA
|
85
|
120101
|
LUPA
|
86
|
120102
|
SONGWE
|
WILAYA YA ILEJE
|
87
|
120501
|
ILEJE
|
WILAYA YA KYELA
|
88
|
120301
|
KYELA
|
WILAYA YA MBARALI
|
89
|
120701
|
MBARALI
|
WILAYA YA MBEYA
|
90
|
120201
|
MBEYA VIJIJINI
|
WILAYA YA MBOZI
|
91
|
120602
|
MBOZI MAGHARIBI
|
92
|
120601
|
MBOZI MASHARIKI
|
WILAYA YA RUNGWE
|
93
|
120401
|
RUNGWE MAGHARIBI
|
94
|
120402
|
RUNGWE MASHARIKI
|
12
|
MOROGORO
|
MANISPAA YA MOROGORO
|
95
|
50501
|
MOROGORO MJINI
|
WILAYA YA KILOMBERO
|
96
|
50301
|
KILOMBERO
|
WILAYA YA KILOSA
|
97
|
50103
|
GAIRO
|
98
|
50102
|
KILOSA
|
99
|
50101
|
MIKUMI
|
WILAYA YA MOROGORO
|
100
|
50401
|
MOROGORO KUSINI
|
101
|
50402
|
MOROGORO KUSINI MASHARIKI
|
WILAYA YA MVOMERO
|
102
|
50403
|
MVOMERO
|
WILAYA YA ULANGA
|
103
|
50202
|
ULANGA MAGHARIBI
|
104
|
50201
|
ULANGA MASHARIKI
|
13
|
MTWARA
|
MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI
|
105
|
90501
|
MTWARA MJINI
|
WILAYA YA MASASI
|
106
|
90302
|
LULINDI
|
107
|
90301
|
MASASI
|
WILAYA YA MTWARA
|
108
|
90101
|
MTWARA VIJIJINI
|
WILAYA YA NANYUMBU
|
109
|
90303
|
NANYUMBU
|
WILAYA YA NEWALA
|
110
|
90201
|
NEWALA
|
WILAYA YA TANDAHIMBA
|
111
|
90401
|
TANDAHIMBA
|
14
|
MWANZA
|
JIJI LA MWANZA
|
112
|
190302
|
ILEMELA
|
113
|
190301
|
NYAMAGANA
|
WILAYA YA GEITA
|
114
|
190602
|
BUSANDA
|
115
|
190601
|
GEITA
|
116
|
190603
|
NYANG'HWALE
|
WILAYA YA KWIMBA
|
117
|
190402
|
KWIMBA
|
118
|
190401
|
SUMVE
|
WILAYA YA MAGU
|
119
|
190201
|
BUSEGA
|
120
|
190202
|
MAGU MJINI
|
WILAYA YA MISUNGWI
|
121
|
190701
|
MISUNGWI
|
WILAYA YA SENGEREMA
|
122
|
190501
|
BUCHOSA
|
123
|
190502
|
SENGEREMA
|
WILAYA YA UKEREWE
|
124
|
190101
|
UKEREWE
|
15
|
PWANI
|
MJI WA KIBAHA
|
125
|
60701
|
KIBAHA MJINI
|
WILAYA YA BAGAMOYO
|
126
|
60101
|
BAGAMOYO
|
127
|
60102
|
CHALINZE
|
WILAYA YA KIBAHA
|
128
|
60201
|
KIBAHA VIJIJINI
|
WILAYA YA KISARAWE
|
129
|
60301
|
KISARAWE
|
WILAYA YA MAFIA
|
130
|
60601
|
MAFIA
|
WILAYA YA MKURANGA
|
131
|
60401
|
MKURANGA
|
WILAYA YA RUFIJI
|
132
|
60502
|
KIBITI
|
133
|
60501
|
RUFIJI
|
16
|
RUKWA
|
MANISPAA YA SUMBAWANGA
|
134
|
150401
|
SUMBAWANGA MJINI
|
MJI WA MPANDA
|
135
|
150101
|
MPANDA MJINI
|
WILAYA YA MPANDA
|
136
|
150102
|
KATAVI
|
137
|
150103
|
MPANDA VIJIJINI
|
WILAYA YA NKASI
|
138
|
150302
|
NKASI KASKAZINI
|
139
|
150301
|
NKASI KUSINI
|
WILAYA YA SUMBAWANGA
|
140
|
150202
|
KALAMBO
|
141
|
150201
|
KWELA
|
17
|
RUVUMA
|
MANISPAA YA SONGEA
|
142
|
100401
|
SONGEA MJINI
|
WILAYA YA MBINGA
|
143
|
100302
|
MBINGA MAGHARIBI
|
144
|
100301
|
MBINGA MASHARIKI
|
WILAYA YA NAMTUMBO
|
145
|
100202
|
NAMTUMBO
|
WILAYA YA SONGEA
|
146
|
100201
|
PERAMIHO
|
WILAYA YA TUNDURU
|
147
|
100101
|
TUNDURU KASKAZINI
|
148
|
100102
|
TUNDURU KUSINI
|
18
|
SHINYANGA
|
MANISPAA YA SHINYANGA
|
149
|
170701
|
SHINYANGA MJINI
|
WILAYA YA BARIADI
|
150
|
170101
|
BARIADI MAGHARIBI
|
151
|
170102
|
BARIADI MASHARIKI
|
WILAYA YA BUKOMBE
|
152
|
170502
|
BUKOMBE
|
153
|
170501
|
MBOGWE
|
WILAYA YA KAHAMA
|
154
|
170401
|
KAHAMA
|
155
|
170402
|
MSALALA
|
WILAYA YA KISHAPU
|
156
|
170302
|
KISHAPU
|
WILAYA YA MASWA
|
157
|
170202
|
MASWA MAGHARIBI
|
158
|
170201
|
MASWA MASHARIKI
|
WILAYA YA MEATU
|
159
|
170601
|
KISESA
|
160
|
170602
|
MEATU
|
WILAYA YA SHINYANGA
|
161
|
170301
|
SOLWA
|
19
|
SINGIDA
|
MANISPAA YA SINGIDA
|
162
|
130401
|
SINGIDA MJINI
|
WILAYA YA IRAMBA
|
163
|
130101
|
IRAMBA MAGHARIBI
|
164
|
130102
|
IRAMBA MASHARIKI
|
WILAYA YA MANYONI
|
165
|
130302
|
MANYONI MAGHARIBI
|
166
|
130301
|
MANYONI MASHARIKI
|
WILAYA YA SINGIDA
|
167
|
130201
|
SINGIDA KASKAZINI
|
168
|
130203
|
SINGIDA MAGHARIBI
|
169
|
130202
|
SINGIDA MASHARIKI
|
20
|
TABORA
|
MANISPAA YA TABORA
|
170
|
140601
|
TABORA MJINI
|
WILAYA YA IGUNGA
|
171
|
140201
|
IGUNGA
|
WILAYA YA NZEGA
|
172
|
140101
|
BUKENE
|
173
|
140102
|
NZEGA
|
WILAYA YA SIKONGE
|
174
|
140501
|
SIKONGE
|
WILAYA YA TABORA
|
175
|
140302
|
IGALULA
|
176
|
140301
|
TABORA KASKAZINI
|
WILAYA YA URAMBO
|
177
|
140401
|
URAMBO MAGHARIBI
|
178
|
140402
|
URAMBO MASHARIKI
|
21
|
TANGA
|
JIJI LA TANGA
|
179
|
40401
|
TANGA MJINI
|
MJI WA KOROGWE
|
180
|
40202
|
KOROGWE MJINI
|
WILAYA YA HANDENI
|
181
|
40601
|
HANDENI
|
WILAYA YA KILINDI
|
182
|
40602
|
KILINDI
|
WILAYA YA KOROGWE
|
183
|
40201
|
KOROGWE VIJIJINI
|
WILAYA YA LUSHOTO
|
184
|
40102
|
BUMBULI
|
185
|
40101
|
LUSHOTO
|
186
|
40103
|
MLALO
|
WILAYA YA MKINGA
|
187
|
40302
|
MKINGA
|
WILAYA YA MUHEZA
|
188
|
40301
|
MUHEZA
|
WILAYA YA PANGANI
|
189
|
40501
|
PANGANI
|
|