Uchapishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Orodha za Wapiga Kura
Baada ya kuingizwa kwa marekebisho na Taarifa zote zilizotoka vituoni wakati wa uwekaji wazi wa Daftari la Awali, ndipo Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lilichapishwa ikiwa ni pamoja na Orodha za Wapiga Kura. Daftari lilichapishwa kwa kila Kituo kulingana na jinsi Wapiga Kura walivyojiandikisha. Hata hivyo, Uchapaji wa Daftari na Uandaaji wa Orodha ulifanyika baada ya kuwagawa Wapiga Kura katika Vituo vya Kupigia Kura ambapo Kituo kimoja kilikuwa na Wapiga Kura wasiozidi 500.
Sambamba na Daftari, ilichapishwa Orodha ya Wapiga Kura nakala tatu; nakala moja ilibandikwa kwenye Kituo Siku 8 kabla ya Uchaguzi, ili Wapiga Kura waweze kufahamu Vituo vyao vya Kupigia Kura, nyingine ilibandikwa Siku ya Uchaguzi na nyingine ilitumiwa na Karani Mwongozaji. Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 uchapishaji wa Daftari la kila Kituo kwa nchi nzima ulikamilika tarehe 20 Oktoba, 2010.
Aidha, Vyama vya Siasa vilipatiwa nakala ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa “softcopy”.
Jedwali Na. 13: Idadi ya Wapiga Kura Walioandikishwa Tanzania Bara
-
Na.
|
Mkoa
|
Wapiga Kura 2005
|
Uboreshaji Awamu ya I 2008/09
|
Uboreshaji Awamu ya II
2009/10
|
Jumla ya Wapiga Kura
|
1
|
Dodoma
|
759,251
|
90,310
|
47,051
|
896,612
|
2
|
Kigoma
|
600,872
|
65,242
|
55,392
|
721,506
|
3
|
Singida
|
482,544
|
62,530
|
9,693
|
554,767
|
4
|
Tabora
|
723,319
|
116,695
|
77,833
|
917,847
|
5
|
Dar es Salaam
|
1,680,831
|
231,831
|
486,077
|
2,398,739
|
6
|
Morogoro
|
895,179
|
92934
|
92,656
|
1,080,769
|
7
|
Pwani
|
469,924
|
48,917
|
46,964
|
565,805
|
8
|
Kagera
|
906,852
|
141,442
|
61,778
|
1,110,072
|
9
|
Mara
|
663,774
|
89,132
|
65,725
|
818,631
|
10
|
Mwanza
|
1,397,673
|
189,246
|
116,846
|
1,703,765
|
11
|
Shinyanga
|
1,236,560
|
144,393
|
136,099
|
1,517,052
|
12
|
Arusha
|
650,199
|
73,675
|
89,170
|
813,044
|
13
|
Kilimanjaro
|
661,288
|
78,241
|
64,627
|
804,156
|
14
|
Manyara
|
484,230
|
49,664
|
61,701
|
595,595
|
15
|
Tanga
|
789,244
|
102,698
|
64,838
|
956,780
|
16
|
Mtwara
|
572,510
|
85,710
|
23,445
|
681,665
|
17
|
Lindi
|
388,384
|
62,236
|
14,096
|
464,716
|
18
|
Iringa
|
673,686
|
84,576
|
27,572
|
785,834
|
19
|
Mbeya
|
951,011
|
105,115
|
84,578
|
1,140,704
|
20
|
Rukwa
|
427,948
|
61,341
|
33,654
|
522,943
|
21
|
Ruvuma
|
504,470
|
103,450
|
26,305
|
634,225
|
|
Jumla
|
15,919,749
|
2,079,378
|
1,686,100
|
19,685,227
|
Mchoro Na. 3: Idadi ya Wapiga Kura - Uboreshaji Awamu ya Kwanza na Awamu ya Pili- Tanzania Bara
Jedwali Na. 14: Idadi ya Wapiga Kura Walioandikishwa Tanzania Zanzibar
-
NA.
|
Mkoa
|
NEC 2005
|
ZEC 2005
|
JUMLA ya NEC na ZEC 2005
|
NEC 2010
|
ZEC 2010
|
JUMLA ya ZEC na NEC 2010
|
1.
|
Kaskazini – Pemba
|
726
|
81,438
|
82,164
|
13,477
|
66,052
|
79,529
|
2.
|
Kaskazini – Unguja
|
1,004
|
80,754
|
81,758
|
8,616
|
61,839
|
70,455
|
3.
|
Kusini – Pemba
|
2,185
|
75,290
|
77,475
|
7,510
|
62,915
|
70,425
|
4.
|
Kusini – Unguja
|
774
|
64,188
|
64,962
|
3,333
|
48,071
|
51,404
|
5.
|
Mjini Magharibi
|
11,055
|
205,565
|
216,620
|
11,482
|
168,781
|
180,263
|
|
Jumla
|
15,744
|
507,235
|
522,979
|
44,418
|
407,658
|
452,076
|
Mchoro Na. 4: Idadi ya Wapiga Kura Walioandikishwa Tanzania Zanzibar
Kwa hiyo, jumla ya Wapiga Kura walioandikishwa (2010) kwa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar ni 20,137,303.
|