Ana səhifə

П р е д и с л о в и е данный учебно-методический комплекс


Yüklə 2.19 Mb.
səhifə11/25
tarix26.06.2016
ölçüsü2.19 Mb.
1   ...   7   8   9   10   11   12   13   14   ...   25

8. Переведите словосочетания и подберите синонимы к подчеркнутым словам:

ukosefu wa wafanya kazi; -ingiza mitaji nchini; -tosheleza mahitaji ya familia; -toa mbegu bure; ukulima bora; -ngoa nanga; mambo ya manufaa; nanga ya uchumi; -leta madhara; -jiwekea shabaha; -tia moyo; hali mbaya ya uchumi; -tahadharisha juu ya hatari; -teketeza mazao ya pareto; -nusuru wanyama adimu; aidha.
9. Переведите:

  1. Дар эс Салаам – один из самых крупных портов Восточной Африки, имеющий глубоководную гавань, которая позволяет принимать большие суда со всего мира.

  2. Сизаль, крепкие листья которого идут на изготовление прочных корабельных канатов (веревок), одна из важнейших статей экспорта Танзании.

  3. Основная проблема, стоящая перед Танзанией, – нехватка средств, которая мешает развитию экономики страны. Кроме того, большим препятствием является также недостаток специалистов для руководства хозяйственной деятельностью.

  4. На протяжении долгого времени английский капитал занимал господствующие позиции в экономике страны. Ему принадлежало 60% плантаций и 90% горнодобывающих предприятий.

  5. Правительство Танзании в первые годы независимости придавало большое значение развитию кооперативного движения во всех сферах народного хозяйства, особенно в области сельского хозяйства.

  6. Хлопок – вторая по значению экспортная культура Танзании. К сожалению, хлопковое хозяйство ведется на очень низком агротехническом уровне: удобрения почти не применяются, орудия труда примитивны.


Msamiati

madini, maadini (-) 1)минерал, руда asilimia (-) процент

2) полезные ископаемые korosho (-) орех кэшью



-nusuru спасать, выручать fedha za kigeni валюта

charahani/ cherehani (vy-) швейная -choma moto сжигать,

машина поджигать



ukosefu (ед.) нехватка, недостаток -shirikisha вовлекать,

ubadilishanaji (ед.) обмен привлекать к участию

madhara (мн.) вред, ущерб mtaji (mi-) капитал

-tia moyo вдохновлять, поощрять wizara (-) министерство

-ota/-otesha mizizi укореняться, tawi (ma-) 1) ветка, ветвь

пускать корни (прям. и перен.) 2) филиал, отделение



nanga (-) якорь shabaha (-) 1) цель,

-tia nanga бросать якорь задача 2) объект; мишень

(прям. и перен.) pareto (-) перетрум



-ngoa nanga сниматься с якоря -shawishi уговаривать,

(прям. и перен.) убеждать



ukame (ед.) засуха madhubuti крепкий,

ulezi (ед.) просо; пшено прочный; стойкий

-teketeza 1) сжигать, испепелять manufaa (мн.) польза,

2) уничтожать, губить выгода; преимущество



aidha кроме того, сверх того -piga hatua делать шаг

-tahadharisha предупреждать, вперед (прям. и перен.)

предостерегать



* * *

Урок 15. Somo la kumi na tano
Грамматика

Релятивный показатель с недостаточным глаголом -na “иметь”


Релятивный показатель в сочетании с недостаточным глаголом -na в настоящем времени согласуется по классу объекта. Он выполняет ту же функцию, что и объектный согласователь в обычном переходном глаголе, т.е. подчеркивает или выделяет предмет, о котором идет речь. Следует помнить, что для одушевленных лиц релятивный согласователь является предпочтительным во всех случаях, даже, когда нет необходимости акцентировать объект. Например, фразу “у меня есть дети” лучше переводить как “ninao watoto”.

Следующий контекст демонстрирует случаи, когда релятивный согласователь не является строго обязательным в сочетании с -na (как правило, в вопросе) и там, где его следует употребить (как правило, в ответе). Обратите внимание, что это относится как к одушевленным лицам, так и к неодушевленным предметам:

Unaye baba? (или “Una baba?”) “У тебя есть отец?”

– Ndiyo, ninaye (объектный согласователь нужен) “Да, есть”.

Una shamba? (или “Unalo shamba?”) “У тебя есть поле?”

– Ninalo (объектный согласователь нужен) “Есть”.

Для варианта с отрицанием релятивный согласователь, как правило, не нужен:

Unaye dada? “У тебя есть сестра?” – Sina (или “Sina dada”) “Нет”.

Ana pesa? “У него есть деньги?” – Hana (или “Hana pesa”) “Нет”.

Сравните примеры с глаголом “иметь” в будущем или прошедшем времени, где объектный релятивный согласователь обязателен в обоих вариантах, и в утвердительном, и в отрицательном:

Mtakuwa na wageni leo? “У вас будут сегодня гости?”

– Ndiyo, tutakuwa nao “Да, будут” (Hapana, hatutakuwa nao “Нет ”).

Ulikuwa na nyumba? “У тебя был дом?”

– Ndiyo, nilikuwa nayo “Был” (Siyo, sikuwa nayo “Нет, не было”).


Mazoezi

1. Дайте положительные и отрицательные ответы, употребив релятивные показатели там, где это необходимо:

1. Miti hii ina matunda? 2. Je, gereji lao litakuwa na madirisha? 3. Babu anao wageni sasa? 4. Wazazi wameshakuwa na likizo mwaka huu? 5. Pesa unazo? 6. Ardhi hii ina rutuba? 7. Nyoka huyu ana sumu? 8. Rehema alikuwa na miwani alipokuja? 9. Wakulima watakuwa na mbolea za kutosha? 10. Kampuni hili lina mitaji mingi?


2. Переведите, обратив внимание на употребление релятива с глаголом “иметь”:

1. У меня есть вопросы. У них нет вопросов. 2. У него есть собака. У тебя нет собаки. 3. У вас есть друзья? – У нас нет друзей. 4. У тебя есть расческа? – Нет. 5. У нас есть манго. А у вас? – У нас нет. 6. У студентов были экзамены? – Нет, не были. 7. У сына будет новый компьютер? – Думаю, что будет. 8. У него есть братья и сестры? – Да, много. 9. На концерте буду зрители? – Да, будут. 10. В этой школе достаточно преподавателей? – Да, достаточно.


BARABARA NA MADARAJA

Barabara ni muhimu kwa maendeleo ya watu kama mishipa ya damu ilivyo katika mwili wa binadamu. Mwili wa binadamu ungekosa mishipa damu isingeweza kusafirishwa mwilini mwake na binadamu huyo asingeweza kuishi. Halikadhalika, kama nchi haina barabara nyingi zilizo bora, watu hawawezi kupata maendeleo thabiti.

Hapo zamani nchi yetu haikuwa na barabara nyingi zilizokuwa nzuri. Hali hiyo ilizifanya sehemu nyingi za nchi yetu zibaki nyuma. Watu walitenganishwa kwa vile hawakuweza kusafiri na kuona jinsi maisha ya watu wengine yalivyokuwa.

Pia wananchi hawakuweza kusafirisha mazao yao kwa urahisi, hivyo iliwapasa kuchukua sehemu kidogo kidogo kwa muda mrefu hadi kufika sokoni. Magari hayakuweza kufika sehemu nyingine kwa ajili ya ukosefu wa barabara au madaraja imara. Lakini baada ya uhuru hali ya usafiri imekuwa nzuri zaidi katika sehemu nyingi za Tanzania. Idadi ya magari imeongezeka sana. Usafirishaji wa mazao umekuwa rahisi zaidi.

Zamani kidogo ilinipasa kusafiri umbali wa kilometa kumi na sita kutoka Ngongowele hadi Liwale. Nilisafiri kwa gari la mizigo lililobeba korosho zilizokuwa zinapelekwa Mtwara. Sikuweza kusafiri kwa gari la abiria kwa sababu magari hayo yalikuwa hayafiki Ngongowele. Mara kwa mara nilikuwa na hofu wakati gari lilipoinamia upande mmoja kwa ajili ya mashimo, hata nikafikiri karibu lipinduke. Lakini nikatulia nilipojikumbusha kwamba nitakapofika Liwale nitaweza kusafiri kwa gari zuri la abiria.

Basi nilifika Liwale saa kumi na mbili za jioni, nikapata nafasi ya kulala katika hoteli. Kulipopambazuka niliondoka hotelini hadi kwenye kituo cha gari la abiria. Nilipofika nilishangazwa kuona umati wa watu waliokuwa wakisubiri safari. Nilipata nafasi ya kukaa mbele karibu na dereva hivyo niliweza kuona mazingira yote.

Uzuri wa barabara ulinipendeza mpaka nikamwuliza dereva, “Mbona barabara hii ni nzuri sana?” Naye akajibu kuwa barabara hii inaangaliwa na wizara ya kazi, usafirishaji na njia. Wizara hiyo inao watumishi washughulikao na uangalizi wa barabara. Miongoni mwa wafanya kazi wamo mafundi hodari waliopata mafunzo maalum. Mipango yote ihusikanayo na barabara hupangwa na fundi mkuu wa kila mkoa, ila ya kuwaajiri watumishi haina budi kuidhinishwa na makao makuu ya Wizara mjini Dar es Salaam.

Watumishi wanaposhirikiana katika kazi, barabara huwa nzuri mwaka mzima. Barabara zote katika wilaya huwa na kiongozi mmoja anayeitwa mkaguzi wa barabara. Huyo anayo idadi fulani ya watu ambao huangalia sehemu ya barabara yenye urefu wa kilometa nane. Katika kila urefu wa barabara wa kadiri hiyo kuna kituo kimoja chenye idadi fulani ya watu, na hapo pamejengwa nyumba ya mwangalizi wao, aitwaye mnyapara. Huyo huangalia vifaa vyote vya kazi na kupanga kazi zinazohitaji kufanywa katika sehemu yake ya barabara.

Ghafula nikaona bendera nyekundu mbele yetu, nikashangaa mno, lakini mara nikatambua kuwa hiyo ni alama ya maonyo kwa madereva kupunguza mwendo wa magari. Ni ishara ya hatari kwa sababu pale barabara inatengenezwa. Niliwaona wafanya kazi wakichimba mifereji kando ya barabara. Dereva alinifahamisha kwamba mifereji hiyo inachimbwa ipate kuyaongoza maji wakati wa masika yasisimame katikati ya barabara wala kukokota mchanga na kuharibu barabara.

Punde kidogo tulipokaribia mahali pale watu walipokuwa wakifanya kazi, nikamwona mnyapara ambaye alikuwa amevaa mavazi rasmi ya kazi. Wafanya kazi wengine walimsaidia kama madereva wa matrekta, magari na makatapila yanayotumika katika kutengeneza barabara. Wako pia mafundi chuma na maseremala. Mafundi chuma hutengeneza aina zote za mashine pamoja na madaraja. Fundi seremala hushughulika na kutengeneza madaraja ya mbao, mapaa ya nyumba za vituo na shughuli nyingine zinazotakiwa.

Kwa mbali niliweza kuona daraja ambalo limetengenezwa baada ya madaraja mengi kuharibika kwa sababu ya mvua wakati wa masika. Kando ya daraja hili kuna vizuizi vya chuma kuongeza usalama wa daraja. Lilikuwa limejengwa juu ya mihimili ya vyuma na sakafu yake ilikuwa ya zege.

Nilifika Nachingwea mnamo saa saba mchana. Baada ya kupata mlo niliendelea na safari yangu kuelekea Lindi. Njiani nilikutana na baadhi ya wafanya kazi wa barabara wakirejea kituoni kwao. Nilipendezwa na jinsi barabara ilivyozidi kuwa nzuri zaidi. Hiyo ni barabara fupi inayotokea Mtwara kupitia Lindi hadi Songea. Hupitisha magari yanayochukua karanga, korosho na tumbaku kutoka sehemu mbalimbali za mkoa wa Mtwara na Ruvuma.

Tulipofika Lindi nilistaajabu kuona kwamba barabara nyingi za mji ni za lami. Siku iliyofuata nilikwenda katika ofisi ya wizara ya njia na usafirishaji ambako nilimkuta mtaalamu wa barabara, ambaye akanieleza kwamba serikali inayo mipango ya kuongeza barabara kila mahali nchini. Licha ya hayo inakusudia kuziimarisha barabara zote ambazo ni kubwa na kutengeneza madaraja yaliyo madhubuti zaidi.

Mazoezi

3. Подберите синонимы к следующим словам и выражениям:

miongoni mwa; mkaguzi; ishara ya hatari; inayumkinika; jambo la busara; kuneemesha maisha; kubeba; nyumba thabiti; kwa ajili ya; umati wa watu; kusubiri; kushangazwa; uangalizi wa barabara; kuidhihisha mpango; -kusudia kufanya jambo; -kokota gari; halikadhalika; -pata mlo; kadiri kama hii; ukuta karibu ubomoke.


4. Подберите антонимы к следующим словам и выражениям:

maendeleo thabiti; -baki nyuma; -tenganishwa; -ingiza bidhaa nchini; njia rahisi; -ongezeka; gari la mizigo; -pata nafasi; viwanda vya kisasa; uzembe; -kubaliwa kazi; -punguza mwendo; jambo la kipumbavu; umati wa wanafunzi; -haribu mazingira.


5. Переведите:

устойчивое развитие, быстрое развитие, слабое развитие; асфальтированная дорога, бетонная дорога, ремонтировать дорогу; перевозить грузы, отправлять грузы, завозить товары, вывозить товары; отставать, быть впереди, делать шаг вперед; быть оторванным друг от друга, быть вместе, объединяться; пассажирский транспорт, грузовой транспорт; нанимать служащих, наниматься на работу, лишиться работы, безработица; утверждать план, планировать работу, строить планы; пропускать автотранспорт, пропускать занятия, пропустить автобус; намереваться что-либо сделать; нацелиться на победу; дерево вот - вот упадет; вы едва успели; они чуть не заблудились.


6. Переведите текст. Выпишите из него предложения с релятивом -vyo- и с глаголами в желательно-побудительном наклонении и переведите их на русский язык письменно:

Ufugaji wa kuku

Mutagambo ni kijana mwenye afya na akili nyingi. Wazazi wake wanampenda sana kwa jinsi alivyo na bidii katika kazi zote za kijiji. Kila siku asubuhi kabla hajaenda shule anawasaidia wazazi wake kusafisha vyombo vyote katika banda la kuku. Baba yake Mutagambo anao kuku wengi, kama mia hivi wa kutaga mayai tu. Anao wengine kama thelathini wanaoweza kuatamia. Wenyeji wa kijiji chao ni wafugaji hodari wa kuku.

Baada ya kusafisha vyombo, Mutagambo hukusanya mayai yote na kuyasafisha kwa msasa. Kisha huyapima na kuyaweka katika makundi kwa kadiri ya uzito wao. Anakusanya mayai yasiyopungua sabini kila siku.

Wakati Mutagambo anapofanya kazi hizi mama yake huwa anatengeneza chakula cha asubuhi. Mama Mutagambo huwapa watoto wake chakula kizuri nao hufanya kazi kwa bidii. Kila mtoto anapata mayai mawili kila siku asubuhi. Mara kwa mara wanakula nyama ya kuku na ndizi wakati wa chakula cha asubuhi. Babake Mutagambo huhakikisha kuwa mkate na siagi havikosekani mezani kila siku asubuhi.

Mara Mutagambo akasikia sauti ya mama yake akimwita, “Njoo upesi ule chakula uende shule. Saa imefika. Acha kazi zilizobaki, tutazimaliza.” Basi Mutagambo akayachukua yale mayai akayaweka mahali pazuri akakimbia kwenda kula chakula. Mutagambo ni mwepesi sana katika mambo yake yote. Mara akawa tayari mezani na baadaye kidogo mama yake alishangaa kumwona Mutagambo anakimbia kwenda shule. Shule yao iko karibu na nyumbani kwao. Baada ya dakika chache akafika. Akamwambia mwenziwe, “Lo, karibu nichelewe leo. Nilikuwa na kazi nyingi nyumbani.” Mara shule ikaanza.

Wanafunzi wa shule ya kijiji hiki wameanza ufugaji wa kuku. Waalimu na watoto wamejenga nyumba nzuri ya kuku. Ina madirisha makubwa ya kuingiza hewa na mwanga. Ndani yake wameweka vyombo safi vya chakula na maji. Juu ya udongo wametandaza majani ili kuzuia unyevu wa maji ya ardhi usiumize kuku wao. Kuku hawapendi unyevunyevu.

Kwa kuwa kuku hupenda kurukaruka wanafunzi wamewajengea miti ili waweze kupanda kila wanapopenda. Wamezungushiwa ua wa wavu nje ya nyumba hiyo ili wasitembee ovyo na kupata magonjwa. Matagio yamewekwa kwa namna ambayo kuku wanaweza kutaga kwa ndani na mchukuzi achukue mayai kwa nje bila kuingia ndani na kusumbua kuku. Ama kweli nyumba hii inapendeza. Watoto pamoja na waalimu hutunza kuku hawa, wanaangalia wapate maji safi na chakula cha kutosha. Mutagambo anapenda sana kazi hii. Amechaguliwa kuwa kiongozi wa kazi za kuku. Watoto wote wanafanya kazi katika kibanda cha kuku kwa zamu.

Kila juma bwana Mganga hufika shuleni kuangalia kuku wanavyoendelea. Mutagambo anaweza kumwita bwana Mganga wakati wowote akimwona kuku anaugua. Kila baada ya miezi miwili bwana Mganga hushirikiana na watoto kuwachanja kuku na pengine hutia dawa kwenye chakula chao. Watoto wa kijiji wanajua dalili za magonjwa mengi ya kuku. Bwana Mganga afikapo anawaonyesha namna ya kutibu magonjwa hayo. Bwana Mganga amewaambia watoto wote kuwa, kila mara wakimwona kuku ana dalili za ugonjwa, wamtenge ili asiambukize wengine. Sheria hii ni ya maana sana. Watoto wote wanaofanya kazi katika kibanda cha kuku huangalia kama kuna kuku mgonjwa ili atengwe.

Hapo shuleni kuna kuku mia tano wanaotaga mayai tu na wengine mia wanaoweza kuatamia. Wanafunzi wanauza mayai mia tatu kila siku. Kila mwanafunzi anapata yai moja kila saa nne. Kuku wanapozidi idadi inayotakiwa wanachinjwa kuwa kitoweo cha chakula chao cha saa sita. Wanafunzi wote wa kijiji hiki wana afya na wanafanya kazi kwa bidii.
7. Перескажите текст “Ufugaji wa kuku”, используя следующие выражения:

-safisha vyombo; -taga mayai; -atamia; -safisha kwa msasa; mayai yasiyopungua …; mkate na siagi havikosekani mezani; karibu achelewe; -ingiza hewa na mwanga; -tandaza majani; unyevu; ua kuzungushiwa na wavu; -sumbua kuku; -fanya kazi kwa zamu; kila baada ya miezi miwili; -chanja; -tenga; -ambukiza; -chinja; -wa na afya.


8. Переведите:

  1. В африканских хлопководческих и кофейных хозяйствах наряду с использованием труда членов семей, все чаще применяется наемный труд.

  2. Кроме того, в Танзании выращивают орехи кэшью, чай, кофе, табак, пиретрум, земляные орехи. Эти культуры в основном идут на экспорт и являются источником валютных поступлений.

  3. Африканцы обычно выжигают участок леса и используют эту землю под посадку продовольственных культур. Через несколько лет этот участок оставляют и выжигают новый.

  4. Используемые ранее участки обрабатываются снова лет через десять. Такое земледелие крайне отрицательно сказывается на плодородии почвы, но все убеждения властей и специалистов, как правило игнорируются населением.

  5. Большим препятствием для развития животноводства в Танзании является муха цеце. Этим опасным и для животных, и для людей насекомым заражены обширные районы.

  6. Нельзя сказать, что промышленность сильно развита в странах Восточной Африки. В основном, это аграрные страны, основная масса населения которых занята земледелием или скотоводством.

Msamiati

fundi chuma (ma-) слесарь mhimili (mi-) балка; опора

mshipa wa damu вена, kitoweo (vi-) приправа (из

кровеносный сосуд мяса или рыбы и овощей)



halikadhalika также, таким же mlo (mi-) 1) пища, еда

образом 2) кушанье, блюдо



tumbaku, tumbako (-) табак siagi (-) сливочное масло

thabiti крепкий, прочный; msasa (mi-) наждачная

устойчивый бумага



-pindua переворачивать, -piga msasa 1) протереть

перевертывать; опрокидывать наждачной бумагой;



uangalizi (ед.) 1) надзор, присмотр 2) пропесочить (перен.)

2) контроль, проверка -kusudia намереваться,



-ajiri нанимать, брать на работу задаваться целью

-idhinisha одобрять, утверждать -atamia сидеть на яйцах

-kagua осматривать; tagio (ma-) место

инспектировать кладки яиц



-kosekana быть в недостатке, -chanja делать прививку

в малом количестве zeze (ma-) бетон



mnyapara/mnyampara (wa-) ishara (-) знак; сигнал

надсмотрщик; управляющий -kokota тянуть; тащить



unyevu, unyevunyevu (ед.) katapila (ma-) бульдозер

влажность -tandaza расстилать



-hakikisha 1) гарантировать; mkaguzi (wa-) инспектор;

обеспечивать 2) убеждать(ся) ревизор



* * *

Урок 16. Somo la kumi na sita

(marudio)
1. Переведите письменно следующие тексты:

    • Wengi wa masetla kati ya wachache waliokuwapo nchini Tanganyika katika kipindi kilichofuata vita kuu ya pili, na matajiri wengi wasio wananchi walijishughulisha zaidi na kilimo cha mkonge na wengi wa kiasi walijishughulisha na uchimbaji wa madini na hasa dhahabu. Biashara ya reja reja na ya kuuza kwa jumla katika miji ilikuwa, kama ilivyo sasa, zaidi mikononi mwa wageni hasa Waasia. Dukani mwa Mwasia mlikuwa na wafanya kazi chungu nzima lakini wote walikuwa Waasia. Ilikuwa mwananchi alikuwa mmoja wa wafanya kazi katika duka hilo, pia hakuwa akifanya kazi yo yote ambayo ingelimfundisha kuwa mfanya biashara bora. Kazi za dukani ziliendeshwa na mwenye duka lile na wale wenye asili moja na mwenye duka hilo. Kwa wananchi mambo yalikuwa si mazuri. Viduka vyao vilikaa pembeni kabisa mwa miji. Wananchi waliuza vitu reja reja.

    • Mwanzoni mwa vita kuu ya pili almasi iligunduliwa huko Shinyanga. Almasi ilichimbwa kwa wingi zaidi wakati wa vita na tokea hapo machimbo ya Shinyanga yalianza kutoa almasi nyingi sana na almasi ikawa madini ya maana sana katika vitu vinavyouzwa nchi za nje kutoka Tanganyika. Baada ya vita bei za vitu zilizidi kupanda. Wananchi pia walianza kuingia katika kazi ya usitawishaji wa biashara na uchumi ingawa biashara yao ilikuwa ni ya kinyonge. Wakati huo huo vijana wengi toka shamba walianza kuingia mijini kwa wingi sana. Wengine wao pia walianza kwenda kutafuta kazi katika mashamba ya kampuni za michai, kahawa na mkonge. Kwa hiyo shida ya ukosefu wa wafanya kazi ilianza kutoweka kwa muda ingawa katika miji shida nyingine ilianza kutokea. Shida hiyo ilikuwa wingi wa watu wasio na kazi katika miji.

    • Ingefaa kutaja jambo la kupanda njugu lililokuwa limeanzishwa na Waingereza mara baada ya vita. Kusudi la kuanzisha upandaji huu lilikuwa kuongeza chakula cha mafuta ambacho kilihitajiwa sana Uingereza baada ya vita kuu ya pili. Kusema kweli ulimaji wa njugu huo ulikuwa wa faida kwa wananchi pia. Kwa bahati mbaya kazi yenyewe ilianza wakati ambao hapakuwa na mvua za kutosha huko Kongwa ambako kilimo hicho kilianzishwa. Kwa hiyo Waingereza hawakufaulu katika jambo hilo. Ingawa Waingereza hawakufaulu katika shabaha yao, jaribio hilo liliwafundisha wananchi wengi kazi mbali mbali. Wananchi walijifunza kutumia na kuendesha matrekta na kadhalika.


2. Составьте предложения со следующими выражениями:

-uza reja reja; biashara ya jumla; -chimba kwa wingi; -toweka kwa muda; -jishughulisha na ulimaji wa njugu; wengi wa kiasi; chakula cha mafuta; -wa mikononi mwa; biashara ya kinyonge.


3. Назовите правильный ответ из данных в скобках:

1. Sehemu kubwa ya raia wa Tanzania ni (wakulima; wafanya kazi; wafanya biashara). 2. Viwanda vilivyokuwa vimo nchini Tanganyika tangu zamani sana ni (vya kutengeneza viatu na nguo; vya kutengeneza chai na katani; viwanda vya utengenezaji wa rangi, soda na saruji). 3. Nafasi za kazi kwa wananchi katika Tanzania ziliongezwa kutokana na (ujenzi wa viwanda; kuanzishwa kwa mashamba makubwa; kufunguliwa kwa maduka mbali mbali). 4. Mahali pafaapo zaidi kwa ujenzi wa viwanda ni huko (kwenye mabonde ya mito na maziwa; mahali penye viwanda vingine; sehemu zenye njia nzuri za usafiri). 5. Bandari zilizoko kando ya Bahari ya Hindi ni (Dar es Salaam; Kigoma; Tanga; Mtwara; Mwanza). 6. Wageni wa kwanza waliokuwa na mipango ya kusitawisha kilimo nchini Tanganyika kwa kutumia njia za kitaalamu walikuwa ni (Waingereza; Wadachi; Wareno). 7. Msingi hasa wa uchumi wa Tanzania ni (kilimo cha katani, kahawa na pamba; mazao ya viwandani; uuzaji wa madini katika nchi za nje). 8. Biashara ya reja reja na ya jumla katika miji ya Tanganyika ilikuwa mikononi mwa (wananchi wenyewe; Waarabu; Waasia). 9. Kilimo cha njugu nchini Tanganyika kilianzishwa na (Wadachi; Waingereza; matajiri wa kienyeji).

1   ...   7   8   9   10   11   12   13   14   ...   25


Verilənlər bazası müəlliflik hüququ ilə müdafiə olunur ©atelim.com 2016
rəhbərliyinə müraciət